Aliye kupiga Bakule ninani tuanzie hapo kwanzaMsimu huu nawaambieni kujipiga ban hakutaisha maana sioni mkitoboa kokote kule .
Aliye kupiga Bakule ninani tuanzie hapo kwanzaMsimu huu nawaambieni kujipiga ban hakutaisha maana sioni mkitoboa kokote kule .
Hahaa zile 4 za Baku zilikufanyia ukapotea mwezi mzima kupunguza machungu mpaka watu tukaanza kuhisi pengine umejitundika lakin wapi ukaja kuonekana bhana. Halafu sasa ivi unasema hujawahi kujipiga ban.Sijawi na sitawahi kujipiga ban
Nadhani nsiko peke angu ambaye hatuelewi unaposema sina timu. Hebu subiri upate mechi za changamoto ndio utajielewa vizuri.Hahaaaaa kwahiyo mm ndio napiga porojo tena? Umesahau juz hapa nakuhakikishia msimu huu huna timu, una kaza shingo
Hilo limekaa kisiasa wewe acha porojo bhana. Man City analipa 350k shughuli imeisha hapigwi ban lakin sisi tunachukuliwa serious kwa sababu ya boss.Mancity lazima waepuke ban ,ila Chelsea ni timu ya ujanjaujanja .
The opposite is true, Arsenal maji yakishachafukwa unajipiga ban ukitokea visingizio debe, mara majukumu ya kazini, mara nilikuwa fieldHuu ndio muda mzuri wakupiga porojo maana baadae hutaonekana humu, ukirud wiki end kuna Leicester unabamizwa tena
Hivo jitahid kupiga porojo kwa nguvu zote
Hivi Ngwaba wewe una umri gani??. Ukiwa mtu mzima utasema ila ukiwa kinder hutasemaLeo tuna Kajimickey Mouse cup tunakwenda kukipigia Jaramba... Vijikombe hivi vya Mbuzi ilikuwa wagaiwe tu Chelsea haina haja ya kuchokesha wachezaji wetu.
Unakosea ilibidi wapewe Arsenal wakajitahidi kila msimu wanashindwa sasa kutowakatisha tamaa na kuwaonyesha tunatambua mchango wao ni kuwapa bure ili walau na wao wanukie wasijisikie vibaya. Kuliko kuwachosha kina Mount na JorginhoLeo tuna Kajimickey Mouse cup tunakwenda kukipigia Jaramba... Vijikombe hivi vya Mbuzi ilikuwa wagaiwe tu Chelsea haina haja ya kuchokesha wachezaji wetu.
Kabisa kama wananipa fursa ya kutumia hata kodi yako unayokatwa kwenye mkeka siwaachi kabisa ,kidumu chama dume CCM na idumu Chelsea the BluesCcm walishachukua akili zako zote , hapo ulipo sio wewe
Natarajia Leo hadi next games ni maumivu tu
Chelsea amevunja sheria hii mara 29Hilo limekaa kisiasa wewe acha porojo bhana. Man City analipa 350k shughuli imeisha hapigwi ban lakin sisi tunachukuliwa serious kwa sababu ya boss.
Nenda kasome historia ya Roman Abramovich The Bold kaiandika. Mtafute humuhumu JF.
Sio kila siku jumapili , usichokijua timu nying zilikuwa hazipand sana kwakuwa mlikuwa na hazard na ukuta mzur wa luiz, ndio maana mwanzo aliokotaokota cleansheet ,
Msimu huu siumeona toka preseason mnatoa 3+ tu
Mm nashukuru mnanipa hela na leo nasema 3+
Leo tuna Kajimickey Mouse cup tunakwenda kukipigia Jaramba... Vijikombe hivi vya Mbuzi ilikuwa wagaiwe tu Chelsea haina haja ya kuchokesha wachezaji wetu.
The opposite is true, Arsenal maji yakishachafukwa unajipiga ban ukitokea visingizio debe, mara majukumu ya kazini, mara nilikuwa field
Newcastle kawapa moja, hao wengine ni suprise
Leo tuna Kajimickey Mouse cup tunakwenda kukipigia Jaramba... Vijikombe hivi vya Mbuzi ilikuwa wagaiwe tu Chelsea haina haja ya kuchokesha wachezaji wetu.
Nafikiri leo Mount hatacheza kwa ajili ya mechi ya J2. Leo Giroud lazima aanzeUnakosea ilibidi wapewe Arsenal wakajitahidi kila msimu wanashindwa sasa kutowakatisha tamaa na kuwaonyesha tunatambua mchango wao ni kuwapa bure ili walau na wao wanukie wasijisikie vibaya. Kuliko kuwachosha kina Mount na Jorginho
arsenil will never win UCLKwan tatizo nini Leo mjiandae kujipiga ban
Arsenal mnashindwa kuwa washindani Ulaya mnasubiri mwashabikie wanaume wenzenuKuna mtu kashajipiga BAN hata mechi haijachezwa, haaahahaha! Liverpool kazi kazi kwa hawa watoto nazinazi.
YOU WILL NEVER WALK ALONE
Kajimickey Mouse cup
Yaas Jmapili ntakua naisupport leicester city pia ...hapa AYOZE PEREZ, hapa TIELEMANS, hapa VARDY, pale NDIDI, wewe lazima wakalishwe tu.Arsenal mnashindwa kuwa washindani Ulaya mnasubiri mwashabikie wanaume wenzenu