OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,066
- 23,980
Wewe arsenal yako unaona nayo ni timu?? Achaga ushamba..Nasema kesho mnabondwa tena
Kuwa ata fan wa Spurs mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe arsenal yako unaona nayo ni timu?? Achaga ushamba..Nasema kesho mnabondwa tena
Mkuu waache tu bado wana khasira na zile goli nneIla Arsenal fan boys wanajua kufurahisha. Leo Jorginho na Kovacic wanaitwa mizoga wakati huo wewe kwenye timu yako una Toreira, Cebalos na Xhaka. Dunia haiishi vituko
Sawa kiongozi, kesho tutakandamiza naamini ivyo..Hahahaha kijana
Nakusubiri mi hata tukifungwa sinaga stress nakusubiri wewe
Pepe ni lazima ake darajani ..ameweka wasi ila bado hamjamuelewa tu..We are the famous Arsenal #COYG
Mzee wa kujipiga BAN jiandae tena kujipiga Ban kesho,nasemaje utajipiga BAN sana msimu huu.
Msimu huu utajipiga ban sana,kesho jiandae kupotea tenaWewe arsenal yako unaona nayo ni timu?? Achaga ushamba..
Kuwa ata fan wa Spurs mkuu
Bangi mbaya sana acha bangi kijanaPepe ni lazima ake darajani ..ameweka wasi ila bado hamjamuelewa tu..
Kesho naomba urudie tena maneno yakoMechi zingine sio lazima zichezwe, kwanini Uefa wasimpe liverpool hilo kombe waokoe muda na fedha?
Nasemaje kesho usipojipiga BAN naomba nipigwe BAN Mimi, we shabiki gani unakimbia changamoto za timu lako, Haahahaaah!Mara nyingi sana tumeanza misimu kwa kuunga unga ila mwishoni tuna maliza na kitu mkononi, makwapa yananyanyuka ..mimi nina uhakika Arsenal utaendelea kuwa mshindani mzuri sana ila makombe tutabeba sisi hahahahahaha..
Chelseaaaaaaaaaa
Kante nilimuonea imani sana ile mechi ya Man u, kwa kiwango chake na chelsea hii ya lampard, ...wastage of talent in his prime.Msimu mtajipiga sana ban,huwez fananisha ceballos ,toreira na mido zako hizo, mechi na man u pogba anagongeana pass hadi goli utasema una kiungo ,ww una kante tu na yeye ameshaanza kuwa muhuzuriaji mzuri wa hospitali ,msimu huu nafas ya 10 ni Yenu
Kweli ccm wananiwezesha natumbua kodi zako kiroho mbayaTatizo ccm wamekubrainwash
Hakuna raha duniani kama kucheza Super Cup na nafasi ulipata Kwa kuipiga Arsenal nyoronyoro vyuma 4-1 pale BAKU ,kisha hasira zao wanazi hamisha kwa kila team inayocheza na Chelsea ,huu ndio unyonge wa akiliChelsea kesho kipondo kingine Tena
Jiandaeni kisaikolojia
Taja team yako imara kama ni Arsenal hauna Team maana utakaa trophiless mpaka mwisho wa duniaHii team ina players dhaifu Sana alafu mashabiki wake ndio dhaifu kabisa naiona hii team mashabiki zake wakilia lia kama wanawake
Hakuna raha duniani kama kucheza Super Cup na nafasi ulipata Kwa kuipiga Arsenal nyoronyoro vyuma 4-1 pale BAKU ,kisha hasira zao wanazi hamisha kwa kila team inayocheza na Chelsea ,huu ndio unyonge wa akili
Kashabikie siasa /CCM mpira hujui.... #GGMUTaja team yako imara kama ni Arsenal hauna Team maana utakaa trophiless mpaka mwisho wa dunia