eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Nilijua karoho katakuuma tuHazard ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua karoho katakuuma tuHazard ??
Hapo mmoja wao aje kati ya Nuno wa wolves au ten Haag wa ajaxWakuu naona sasa hivi kila kocha anahusishwa na kuinoa Chelsea, kuanzia Lampard, Nuno, Ten, Holland, mpaka na Benitez
Nimesema kati ya messi hazard Ronaldo mmoja wao akichukua nitampongeza, sijui ni wapi sijaeleweka
Watu wa Liverpool bana, sawa ikitokea Bahati mbaya nitawapongezaKwahiyo akichuka Mane au VVD hutowapongeza?
Watu wa Liverpool bana, sawa ikitokea Bahati mbaya nitawapongeza
Wakuu naona sasa hivi kila kocha anahusishwa na kuinoa Chelsea, kuanzia Lampard, Nuno, Ten, Holland, mpaka na Benitez
Ivi uyu mjamaa kumbe ni Portugese aise ..najuaga ni Mspain dah!Watu wengi wanamtaja VVD kwa sababu tu kachukua UCL na player of the year lakini anasahaulika Barnardo Silva ndani ya msimu tu makombe aliyochukua plus individual awards km zingekua ni points basi angemuacha mbali huyo VVD.
>Community Shield
>League Cup (Carling)
>FA cup
>EPL
>UEFA Nations League
^Man City player of the season
^UEFA Nation League player of the tournament
Anastahili kuwepo hata top 3. Mtakaosema hizo ni Micky Mouse Cup someni upya nilicho andika mwanzo.View attachment 1124217
Hivi mkuu wewe unaamini kabisa Hazard na Ronaldo Wanastahiki kuchukue uchezaji bora wa Ulaya msimu huu?
Hazard ??
Imekuchanganya SilvaIvi uyu mjamaa kumbe ni Portugese aise ..najuaga ni Mspain dah!
Whatever amefanya nini bado hastahili kuwepo hata top 10. Ni sawa na akina Mbappe hao unaweza kuwaweka kwenye list nao kisa ni top scorer kwenye ligi yao?Mkuu umechefukwa kumsikia Lewandowski? Unafahamu amefunga magoli mangapi msimu huu? unajua kama amebeba domestic double msimu huu tena akiwa Man of the match kwenye cup final? Unajua kama ni Top score bundesliga msimu huu? unajua kama ameshika nafasi ya pili kwenye chart ya Champion league top scores msimu huu? Unataka lipi jengine?
Kwahiyo makombe ya Africa hayajulikani?Makombe makubwa duniani
1 World Cup
2 Champions league
3 Europa league
4 Euro
5 Copa America
Hapo mmoja wao aje kati ya Nuno wa wolves au ten Haag wa ajax
Joginho tunamhitaji sana.Uyu Sarri mpumbavu kweli.. anataka kuondoka na Emerson na mtoto wake Joghihno. Ni bora asepe na uyo Joghihno, Emerson beki la kazi lile...
Mimi naona kwa sasa hatufai aendelee kujifunza hapo DerbyLampard ndo anapigiwa chapuo