Nanukuu "Acha uzuzu"

Kwanini uanze na Personal attack?
Kulikuwa na umuhimu wa kufanya hivyo?
Je hujui kuwa hiyo ni dalili ya udhaifu kwenye kujibu hoja?

Nadhani bado una mawazo ya Kizamani kuwa DM kaziyake ni kukaba tu kama tulivyokaririshwa kuwa kazi ya RB na LB ni kukaba.

Kama DM wengine wana assist na kuscore basi huyu asiye assist na Kuscore hawezi kuwa bora.

Kumbuka kuwa hata Macentre Backs sikuhizi ni Wafungaji wazuri tu.

Halafu nadhani hufuatilii Anavyocheza kwenye time yenu! Kama kigezo pekee cha DM ni kukaba basi huyu Ameshakosa sifa ya ubora kwani Hajui Kukaba hata kidogo na washabiki wenzako wanalijua hilo.

Yupo vizuri kwenye Kupiga pasi (Sideway & Backward) tu.

Kwenye kukaba ni Sifuri that's why mumeconcede migoli kibao

Lakwanza ufahamu ni kuwa Jorginho hachezi Dm bali anacheza CM. na Cm kazi yake sikukaba. Jorginho ni deep laying player maker nahio ndio kazi yake kuu. Kazi ya kukaba ni kazi ya Kante ambaye ancheza covering. kuufahamu football inataka kazi kidogo fungua bongo lako mkuu. Na licha ya yote hayo bado Statistic zinaonesha bado Jorginho yupo juu hata kwenye kuzuia. hebu zitizame vizuri. Na pia yeye ndie aneongoza kupiga pasi nyingi ndani ya PL msimu mzima.
 
Lakwanza ufahamu ni kuwa Jorginho hachezi Dm bali anacheza CM. na Cm kazi yake sikukaba. Jorginho ni deep laying player maker nahio ndio kazi yake kuu. Kazi ya kukaba ni kazi ya Kante ambaye ancheza covering. kuufahamu football inataka kazi kidogo fungua bongo lako mkuu. Na licha ya yote hayo bado Statistic zinaonesha bado Jorginho yupo juu hata kwenye kuzuia. hebu zitizame vizuri. Na pia yeye ndie aneongoza kupiga pasi nyingi ndani ya PL msimu mzima.

Kazi kwelikweli! Kwenye mfumo wa Sarri kazi ya kukaba ni ya Kante?? Means Kante anacheza nyuma ya Joginho?
Kukariri ni shida kweli!

Bora Mimi niiishie hapa wewe endelea kuamini unachokiamini
 
Siku kama ya leo mwaka 2013 tulishinda kombe la Europa League dhidi ya Benfica. Shukran kwa magoli ya Torres na Ivanovic.

Looking for more to come.
IMG_20190515_205055_752.jpeg
 
Kazi kwelikweli! Kwenye mfumo wa Sarri kazi ya kukaba ni ya Kante?? Means Kante anacheza nyuma ya Joginho?
Kukariri ni shida kweli!

Bora Mimi niiishie hapa wewe endelea kuamini unachokiamini

Ndio mana nilikwmabia mapema acha uzuzu, sikukwambia kwa kua nilikusudia kukutusi bali ni uhalisia wa fikra zako.

Kucheza nyuma haimaanishi kama wewe ndiye mkabaji, Hiyo ndio athari kulelewa na kuishi kwenye EPL. Tizama mpira wa nchi nyengine ulaya uufahamu mpira mkuu. Mtu anaweza cheza chini lakini asiwe DM akawa CM, na CM kazi yake si kukuba bali ni kuchezesha. Na anaweza kucheza juu lakini akawa Covering CM au DM au kwa jina ka kisasa Box to Box kwa maana kazi yake kuu ni kunyang'anya huku akimlinda CM.

Uliwahi muona Gattuso au Vidal ? hawa kazi yao nini uwanjani? Lini uliwahi waona wakicheza namba 6? Na unamkumbuka Andrea Pirlo ? Unaweza kutwambia alikua anacheza namba gani uwanjani?
 
Assist?
Goal?

Ili to prove ubora wake

Najuwa anacheza DM lakini huko hakuondoshi kuwa asifunge na kuassist wakati wenzake mpaka CBs wanafunga na kuassist.
Kwa nafasi yake assists au magoli sio indicator nzuri bali inaweza kuwa added advantage
 
Kazi kwelikweli! Kwenye mfumo wa Sarri kazi ya kukaba ni ya Kante?? Means Kante anacheza nyuma ya Joginho?
Kukariri ni shida kweli!

Bora Mimi niiishie hapa wewe endelea kuamini unachokiamini
Lakwanza ufahamu ni kuwa Jorginho hachezi Dm bali anacheza CM. na Cm kazi yake sikukaba. Jorginho ni deep laying player maker nahio ndio kazi yake kuu. Kazi ya kukaba ni kazi ya Kante ambaye ancheza covering. kuufahamu football inataka kazi kidogo fungua bongo lako mkuu. Na licha ya yote hayo bado Statistic zinaonesha bado Jorginho yupo juu hata kwenye kuzuia. hebu zitizame vizuri. Na pia yeye ndie aneongoza kupiga pasi nyingi ndani ya PL msimu mzima.

Katika mfumo wa Sarri kuna 4-3-3 za aina tatu
1) Defensive 4-3-3 ambapo Kante na mwenzake wanabaki nyuma ya Jourginho na kwa mfumo huu Jourginho anakuwa na role ya Attacking Midfielder
2) Aina ya pili ya 4-3-3 ni offensive style ambapo Jourginho anakuwa nyuma ya Kante na mwenzake. Kwa style hii Jourgninho anakuwa DM na Kante na mwenzake wanakuwa Atatcking Midfielders.
3) Aina ya tatu ya 4-3-3 ni Defensive and Offesnive kwa pamoja, katika approach hii, Jourginmho anacheza kama CM ambapo anasaidia defensive roles na hapo hapo anasaidia offensive roles - Sarri ball kwa percent kubwa inaangukua hii ya 3

Hata na hivyo hizi approach zote za 4-3-3 inategemea sana timu inacheza na opponent wa namna gani
Kwa hiyo hakuna jina maalum la kusema Jourginho anacheza kama CM au DM, yote inamfaa japokuwa mara nyingi anacheza CM roles ambayo anakaba na kushambulia kwa wakati mmoja

So Jourginho ana roles hizi
  1. Clear opponents attacks, kusafisha lose balls kwenye eneo lake na kusaidia kwa ujumla defensive line- defensive roles
  2. Create the zone of possession katikati kwa kuwanyanganya opponents mipira kwa ku-intercept au kwa njia yeyote na kutoa pasi fupi fupi za haraka, normally hizi ndio zinaitwa sidway passes
  3. Kupeleka mipira mbele kwenye mashambulizi - forward/deep passes or long ball passes- Attacking roles
Ni kweli kama anavyosema Ngwaba Jourginho huko nyuma akizidiwa alikuwa hawezi kudefend na ndio maana mashabiki walilia sana Kante arudi katika hiyo role
Jourginho kabadilika sana kwenye mechi 5 zilziopita ameweza kudeliver roles hizo zote hapo juu na ndio maana ukifuatilia ratings za wachezaji baada ya mechi utagundua kuwa Jourginho yupo top kwenye performance

Sample za rating hizi hapa source Skysports na FootballLondon
  1. VS Man U alkuwa na rating ya 7 among the top performance
  2. VS Eintracht first leg alipata 7.2 yeye na Kante, aliyeng'ara alikuwa RLC kwa point 8, Jourginho bado alikuwa mzuri
  3. Vs Watford alikuwa far better than even Hazard kwa point 9 wakati Hazard alipata 8
  4. VS Eintracht second leg alipata 8 yeye na Kepa tu
  5. VS Leicester City alikuwa na top rating ya 8 kuliko wachezaji wote
Kuzipata hizi rating wewe andika kwenye google
Chelsea Vs [Opponent name] Player Ratings
Matokeo yakija chagua kulingana na source na tarehe AU control matokeo (search results) kwa tarehe kwa kutumia Google tool
 
Nanukuu "Acha uzuzu"

Kwanini uanze na Personal attack?
Kulikuwa na umuhimu wa kufanya hivyo?
Je hujui kuwa hiyo ni dalili ya udhaifu kwenye kujibu hoja?

Nadhani bado una mawazo ya Kizamani kuwa DM kaziyake ni kukaba tu kama tulivyokaririshwa kuwa kazi ya RB na LB ni kukaba.

Kama DM wengine wana assist na kuscore basi huyu asiye assist na Kuscore hawezi kuwa bora.

Kumbuka kuwa hata Macentre Backs sikuhizi ni Wafungaji wazuri tu.

Halafu nadhani hufuatilii Anavyocheza kwenye time yenu! Kama kigezo pekee cha DM ni kukaba basi huyu Ameshakosa sifa ya ubora kwani Hajui Kukaba hata kidogo na washabiki wenzako wanalijua hilo.

Yupo vizuri kwenye Kupiga pasi (Sideway & Backward) tu.

Kwenye kukaba ni Sifuri that's why mumeconcede migoli kibao
King nimeweka sifa zake hapo, hiyo haiondoi ubora wake sijui hajafunga sijui hajaasist hiyo tunaita ni ziada ya mchezaji wa eneo lake ila haiondoi ubora wake
 
Juz sarri alilalama kihusu gemu ya new England revolution sasa naona imeondoka na kichwa kwa majeruh hawa sjui final itakuwaje
 
Kwenye eneo lake sina wasiwasi, wapo wengi mno
Wapo wengi ndio lakini kumpata mtu kama yeye ni kazi sana. Kwani Hazard kwenye eneo lake hakuna watu! Unadhani kwa nn wanasema akiondoka Chelsea itahangaika kumpata walau atakaye fikia uwezo wa Hazard.

Its About Quality Not Quantity
 
Wapo wengi ndio lakini kumpata mtu kama yeye ni kazi sana. Kwani Hazard kwenye eneo lake hakuna watu! Unadhani kwa nn wanasema akiondoka Chelsea itahangaika kumpata walau atakaye fikia uwezo wa Hazard.

Its About Quality Not Quantity
Chelsea haitaangaika kuondoka kwa hazard, namwamini sana Pulisic
 
Back
Top Bottom