Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kwa upande mwingine Gonzalo anaweza kuwa prospect bora Zaidi ya Giroud kwa sababu moja tu, yeye ni mgeni kwa EPL na Giroud ni mwenyeji tangu Arsenal na hana improvement kwenye scoring, Assuption ni kwamba Higuaín mwaka kesho anaweza kufikisha hata 20 goals na hayo magoli ni muhimu sana kubakia top 4 maana kama ban itaendelea kuwepo sidhani kama tutaweza unda timu ya kuwania ubingwa. Ila kama ban itaondolewa, waondoke wote waletwe wafunga wa kiukweli. Pia Michy arudishwe awe naye wana competeGonzalo kaja juzi tu kafunga Mara 5
MPE heshima yake mkuu
michy maji kupwa maji kujaaIla kwa upande mwingine Gonzalo anaweza kuwa prospect bora Zaidi ya Giroud kwa sababu moja tu, yeye ni mgeni kwa EPL na Giroud ni mwenyeji tangu Arsenal na hana improvement kwenye scoring, Assuption ni kwamba Higuaín mwaka kesho anaweza kufikisha hata 20 goals na hayo magoli ni muhimu sana kubakia top 4 maana kama ban itaendelea kuwepo sidhani kama tutaweza unda timu ya kuwania ubingwa. Ila kama ban itaondolewa, waondoke wote waletwe wafunga wa kiukweli. Pia Michy arudishwe awe naye wana compete
Infact Europa na EPL ni ligi mbili tofauti, na ndio maana pamoja na kuchezesha timu B Chelsea wamefanya vizuri. Giroud EPL imemshindwa kabisa, anstahili kucheza Ligue one au zinazofanana na hizo ligi, EPL ni mziki mwingine banaBaada ya final za Europa league ataenda madrid
Kuna Michy na Tammy Abrahammichy maji kupwa maji kujaa
Infact Europa na EPL ni ligi mbili tofauti, na ndio maana pamoja na kuchezesha timu B Chelsea wamefanya vizuri. Giroud EPL imemshindwa kabisa, anstahili kucheza Ligue one au zinazofanana na hizo ligi, EPL ni mziki mwingine bana
Huyu yuko vizuri sijui kwa nini hawamrudishi au ni mkopo wa mda mrefu?Wamrudishe Kovacic Madrid, huyu kijana Mario Pašalić wa Atlanta anaweza kusaidiana na Jourginho
Simpi kwa heri, mpaka atupatie kombe la Europa league kwanzaConfirmed !! Billion 258 Hazard kutoka Chelsea kwenda Madrid - hili litatangazwa rasmi baada ya fainali ya Europa. Tunakutakia safari njema Madrid.
Kiungo bora wa EPL
View attachment 1098174
Takwimu si nimeweka hapo, waje na za kwao ruksaWengine watapinga
Kiungo bora wa EPL
View attachment 1098174
Wengine watapinga
Assist?
Goal?
Ili to prove ubora wake
Najuwa anacheza DM lakini huko hakuondoshi kuwa asifunge na kuassist wakati wenzake mpaka CBs wanafunga na kuassist.
Washajitokeza. Acha uzuzu msela uo. Sasa DM anahusika vipi na mambo ya assist na goals? Kinachotakiwa hapo ni kutizama majukumu ya position yake.