Michy batshuay arudi na apewe nafasi
Kwa maoni yangu...ningependa safu ya ushambuliaji wawepo Higuan, Tammy, na Michy alafu wapewe nafasi ya kwanza Higuan na Tammy, Luiz anatakiwa apumzike acheze mechi za FA, nafasi ya nyuma wawepo Matt ..Rudiger..Chriatian...Sarri amwangalie Victor kwa jicho ya pili sasa.
Kante arudi nyuma nafadi ya sita..kama Joginyho hawezi kukaa 8
basi awe anabadilishana na Bankley la sivyo aondoke make ameshindwa kuendesha timu mbele akiwa nyuma. Wachezaji wanamoto wa kwenda mbele na nafasi zipo yeye anarudisha mipira nyuma.
 
Magoli ya Cheek hua yanakuja muda muafaka kabisa..atakuja kua namba 10 bora akiacha kujivuta vuta; Hodoi yupo vizuri shida yake anafuata nyayo ya Hazard kwa kupoza mipira isiyokua na ulazima .
 
Mkuu rudia kusoma ulucho andika
Kwa maoni yangu...ningependa safu ya ushambuliaji wawepo Higuan, Tammy, na Michy alafu wapewe nafasi ya kwanza Higuan na Tammy, Luiz anatakiwa apumzike acheze mechi za FA, nafasi ya nyuma wawepo Matt ..Rudiger..Chriatian...Sarri amwangalie Victor kwa jicho ya pili sasa.
Kante arudi nyuma nafadi ya sita..kama Joginyho hawezi kukaa 8
basi awe anabadilishana na Bankley la sivyo aondoke make ameshindwa kuendesha timu mbele akiwa nyuma. Wachezaji wanamoto wa kwenda mbele na nafasi zipo yeye anarudisha mipira nyuma.
 
Tangu mwaka 2014 ni team tatu tu EPL zilizokuwa zikipokezana ubingwa

Man city Mara 3
Chelsea Mara 2
Leicester city Mara 1
Ndg, ni timu mbili, hii ya Leicester ni ajali, wangechukua mara ya pili tungesema nao wanapokezana
 
Kwa maoni yangu...ningependa safu ya ushambuliaji wawepo Higuan, Tammy, na Michy alafu wapewe nafasi ya kwanza Higuan na Tammy, Luiz anatakiwa apumzike acheze mechi za FA, nafasi ya nyuma wawepo Matt ..Rudiger..Chriatian...Sarri amwangalie Victor kwa jicho ya pili sasa.
Kante arudi nyuma nafadi ya sita..kama Joginyho hawezi kukaa 8
basi awe anabadilishana na Bankley la sivyo aondoke make ameshindwa kuendesha timu mbele akiwa nyuma. Wachezaji wanamoto wa kwenda mbele na nafasi zipo yeye anarudisha mipira nyuma.
Luiz bado ni chaguo langu pamoja na errors chache anazozifanya. Yuko more technical than Andreas na Rudidger combined na ndio maana kama ukifuatilia wakicheza na Rudidger huwa anamtegemea sana Luiz kwa maamuzi ya mpira. Mimi huwa nawafuatilia sana. Rudidger hapigi mpira mbele bila ya kurudisha kwa Luiz, Labda Luiz akistahafu Rudidger atakuwa na uzoefu wa kujiamini. Andreas ni mwepesi lakini bado anatakiwa kukomaa na maamuzi. Akiwa na mpira bado decision making yake sio bora kama ya hao wenzake hapo nyuma. Kwa maoni yangu Andreas aongezewe muda wa kucheza lakin I akitokea Benji na aanze mechi kadhaa wa kadha
Jourginho anafanya vizuri sasa, akiendelea hivi hatakiwi kubadilishwa pale kwa sababu yeye ndio technical register kwenye formation ya 4-3-3
Hata mashabiki wameanza kumkubali. Wewe tembelea YouTube mechi za Chelsea tatu nne zilizopita utaona hizo positive remarks. Zile deep passes ambazo tulikuwa tukizilalamikia kuwa hazifanyi sasa ameanza kuzifanya. Deep passes ni kama zile za Fabregas au Luiz na pia ameanza kuwaona washambuliaji wanaocreate chances kama ile ya jana ya Barkley kwa bahati mbaya Barkley akapiga vibaya ila ilikuwa pasi nzuri sana, Labda angemjaribu Kante nyuma kwa sababu ni mzuri kwenye kudefence
 
240px-Chelsea_FC.svg.png


Full name:
Chelsea Football Club

Nickname(s): The Blues, The Pensioners

Founded: 10 March 1905

League: Premier League

Website: ChelseaFC.com


View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m


View attachment 450991
Owner: Roman Abramovich

View attachment 450993
Chairman: Bruce Buck

View attachment 822913
Head Coach: Maurizio Sarri
Chelsea Trophies:
League Tittles: 6

Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)

European Trophies: 5
UEFA Champions League: 1 (2011/12)
UEFA Europa League: 1 (2012/13)
UEFA Super Cup: 1 (1998)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 19970/71)

FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)

League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)

Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)


View attachment 794454
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned The Emirate FA Cup Winners(2018)

View attachment 512734
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned Premier League Champions (2016/17)

View attachment 663322
Chelsea FC Squad (2017/18)

Follow this thread for team updates!
Badilsiha hii
19970/71 iwe
1970/71
 
Gonzalo higuain abaki, Ila giroud asepe tu

Striker msimu mzima wa EPL ana goli mbili tu
Kwa maoni yangu wote wawili wamechoka ila afadhali Giroud kidogo anacheza, chini, kati na hewani
Pia Giroud anaweza kufunga kwenye mazingira magumu tofauti na Higuaín ambaye anahitaji kutengenezewa mpira mzuri sana ndio afunge
 
Kocha itabidi amrudishe Tammy Abraham kwenye safu yake ya ushambuliaji...ila awambie kabisa wale watoto Hodoi..Cheek na Joginhyo waache uyoto wanapokua uwanjani make kuna wakati wanacheza kama wale watoto wa Man Utd
Cheek na yeye umemuweka kwenye hii orodha mkuu?
 
Cheek na yeye umemuweka kwenye hii orodha mkuu?
Mkuu uoni mipira mingi Cheek anachelewa kutoa maamuzi haraka na mwisho wa siku nafasi zinazibwa? jaribu kuangalia mchezaji maamuzi ya kutoa mpira mguuni anaufanya wakati gani na kwanini?
 
Mkuu uoni mipira mingi Cheek anachelewa kutoa maamuzi haraka na mwisho wa siku nafasi zinazibwa? jaribu kuangalia mchezaji maamuzi ya kutoa mpira mguuni anaufanya wakati gani na kwanini?
Cheek ana possession nzuri, stable, ni kiungo mfungaji, hiyo ya kuvuta miguu kaimprove sana na msimu ujao akipewa mechi nyingi Zaidi, Cheek utampenda bure. Kama unafuatilia vizuri Cheek ni kama Hazard akiingia anabadilisha mwenendo wa mpira, mashambulizi yanaongezeka. Kati ya wachezaji Sarri hatakubali kuwapoteza mojawapo ni Cheek
 
Kwa maoni yangu wote wawili wamechoka ila afadhali Giroud kidogo anacheza, chini, kati na hewani
Pia Giroud anaweza kufunga kwenye mazingira magumu tofauti na Higuaín ambaye anahitaji kutengenezewa mpira mzuri sana ndio afunge
Gonzalo kaja juzi tu kafunga Mara 5

MPE heshima yake mkuu
 
153 Reactions
Reply
Back
Top Bottom