Leo kuanzia saa 1:30 usiku kutakuwa na mtanange mkali Kati ya Chelsea na Man United mchezo utachezwa Old Trafford.Kwa utabiri wangu Man United ataibuka kidedea shida kuu ya Chelsea hawana kocha mzuri ila Wana team Bora zaidi ya Man United ukiangalia mchezaji mmoja mmoja namaanisha quality players.
Kama Chelsea ingekuwa na kocha Ancelloti wangeweza hata kuchukua ubingwa msimu shida ya Lampard Hana tactical ability lakini pia amekuwa akiwachezesha Wachezaji wake nje ya position na pia snawafavor Sana Wachezaji wa kiingereza zaidi anaweza kumweka fundi Kovacic benchi ilimradi mwingereza mwenzake Mason mount acheze.
Tukija kwa Ole yeye kidogo anauafadhali compare na Lampard ana uwezo wa tactics hii ndio itamsaidia kushinda mechi ya leo.