KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF wenzangu habarini za jioni.
Nilikuwa natafakari juu ya jambo hili.Hebu tazameni jirani zetu wakenya walivyopiga hatua ktk suala zima la maendeleo ya nchi yao hata wakisimama kuendelea na safari halafu sisi tutoke nyuma tunakimbia speed hatutawakamata.
Nikajiuliza ka swali kadogo ka kizushi,hivi mbona kajengo kao ka bunge ni kadogo na ka kawaida tu ila sheria na mipango wanayoipanga inatekelezeka na nchi yao imepiga hatua sana??!.
Tofauti na sisi tuna jengo kubwa tena la kifahali la bunge ila yanayofanyika huko ndani hayatekelezeki? Na nchi yetu inaendelea kubaki nyuma?
Nilikuwa natafakari juu ya jambo hili.Hebu tazameni jirani zetu wakenya walivyopiga hatua ktk suala zima la maendeleo ya nchi yao hata wakisimama kuendelea na safari halafu sisi tutoke nyuma tunakimbia speed hatutawakamata.
Nikajiuliza ka swali kadogo ka kizushi,hivi mbona kajengo kao ka bunge ni kadogo na ka kawaida tu ila sheria na mipango wanayoipanga inatekelezeka na nchi yao imepiga hatua sana??!.
Tofauti na sisi tuna jengo kubwa tena la kifahali la bunge ila yanayofanyika huko ndani hayatekelezeki? Na nchi yetu inaendelea kubaki nyuma?