Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
Ni siku ya mwisho kwa watoto wa chekechea moja. Watoto walimletea mwalimu wao zawadi...
Mtoto wa muuza maua akampa kajibunda:
Mwalimu (akitabasamu): "Aaahsante! Mie nahisi, umineletea maua"
Mtoto akishangaa: "We umejuaje?"
Mwalimu (bado akitabasamu): "Aaah, nimebahatisha tu."
Kisha, Mtoto wa muuza mapombe (makonyagi na mawhisky) akampa kajibunda. Hicho kibunda kilikua kinavuja kidogo. Mwalimu naye akagusa mvujo, na akanyonya kidole chake akionja…
Mwalimu (akitabasamu): "Aaahsante! Hivi umineletea mvinyo?"
Mwanafunzi (akisisimka): "Hapana"
Mwalimu naye akarudia kuonja tena… :
Mwalimu: "Haya sasa mie nimeshindwa kubunia, hebu niambie ulichoneletea."
Mwanafunzi (msisimko ukimfanya aruke-ruke): "Chiboa! Mtoto wa mbwa wetu."
Mtoto wa muuza maua akampa kajibunda:
Mwalimu (akitabasamu): "Aaahsante! Mie nahisi, umineletea maua"
Mtoto akishangaa: "We umejuaje?"
Mwalimu (bado akitabasamu): "Aaah, nimebahatisha tu."
Kisha, Mtoto wa muuza mapombe (makonyagi na mawhisky) akampa kajibunda. Hicho kibunda kilikua kinavuja kidogo. Mwalimu naye akagusa mvujo, na akanyonya kidole chake akionja…
Mwalimu (akitabasamu): "Aaahsante! Hivi umineletea mvinyo?"
Mwanafunzi (akisisimka): "Hapana"
Mwalimu naye akarudia kuonja tena… :
Mwalimu: "Haya sasa mie nimeshindwa kubunia, hebu niambie ulichoneletea."
Mwanafunzi (msisimko ukimfanya aruke-ruke): "Chiboa! Mtoto wa mbwa wetu."