HadithiZaRuvuly
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 369
- 114
Chizi amefiwa na nduguye watu wote wakawa wanalia yeye ameinama tuu!
Jamaa wakamuliza wewe vipi humlili nduguyo?
Akajibu nalia ila nimeweka vibration
Jamaa wakamuliza wewe vipi humlili nduguyo?
Akajibu nalia ila nimeweka vibration