Cheichei wana jamii.

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
1,985
1,282
Hatimaye nimekuwa miongoni mwa wanajamii wa hii forum yetu. Nawashukuru wote waliondaa jukwaa hili, kwa wenyeji naombeni ushirikiano wenu na kubwa zaidi mnielekeze yanipasayo kufanya. Kwa uongozi au utawala naomba msisite kunielekeza kila ninapoonekana nakosea, kwani sitapenda kuona nafungiwa.

Asanteni.
Njano5.
0715845394.
 
Cheichei hujambo, maa hajambo, na baa hajambo. Haya karibu uketi jamvini.
 
Hatimaye nimekuwa miongoni mwa wanajamii wa hii forum yetu. Nawashukuru wote waliondaa jukwaa hili, kwa wenyeji naombeni ushirikiano wenu na kubwa zaidi mnielekeze yanipasayo kufanya. Kwa uongozi au utawala naomba msisite kunielekeza kila ninapoonekana nakosea, kwani sitapenda kuona nafungiwa.

Asanteni.
Njano5.
0715845394.

Cheichei namba yako haipatikani..teh teh.....
 
Hatimaye nimekuwa miongoni mwa wanajamii wa hii forum yetu. Nawashukuru wote waliondaa jukwaa hili, kwa wenyeji naombeni ushirikiano wenu na kubwa zaidi mnielekeze yanipasayo kufanya. Kwa uongozi au utawala naomba msisite kunielekeza kila ninapoonekana nakosea, kwani sitapenda kuona nafungiwa.

Asanteni.
Njano5.
0715845394.

Cheichei namba yako haipatikani..teh teh.....
 
Asante sana, ila bado sijazozea maisha ya hapa, yaani, bado natatizika jinsi ya kutumia hili jukwaa, nimezoea sana facebook.
 
Back
Top Bottom