Chef na Mkaanga Chips Anaitajika

HR CONSULTANT

Member
Jun 7, 2010
76
8
Naitaji Chef mwenye uzoefu mkubwa wa kuchoma nyama za aina zote(hili ndio la kwanza) na mapishi aina mbali mbali pia.

Pia anaitajika mkaanga Chips mwenye uzoefu na utaalamu mzuri.

Tuma msg kwa 0743 319 304 nitakupigia kwa maelekezo zaidi.
 
Naitaji Chef mwenye uzoefu mkubwa wa kuchoma nyama za aina zote(hili ndio la kwanza) na mapishi aina mbali mbali pia.

Pia anaitajika mkaanga Chips mwenye uzoefu na utaalamu mzuri.

Tuma msg kwa 0743 319 304 nitakupigia kwa maelekezo zaidi.
Unapatikana wapi ili wadau wakuletee vijana wazoefu kwa kazi hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahitaji na vyeti au kujua kupika na kuchoma nyama inatosha?! Mshahara na stahiki zingine zikoje?! Mfano mshahara take home ikoje, kwa mwezi au kwa wiki, bima ya afya unalipia, na vipi nssf unapeleka?! Ni ajira ya kudumu au seasonal?!
 
Back
Top Bottom