Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahaha lol!!!! Hapo patashika nguo kuchanika lol!!!! Washukuru Mungu hakumrarua mtu!!!! Lazima matumbo yao yalikuwa joto...Dah!
Na tumbo joto halikuachi mkavu!!!!
mkuu hizo picha kama vipi tuma kwa mods watusaidie kuweka,napenda sana picha za wanyama.
support@jamiiforums.com
_nitarudi please
hakuna aliyejikojolea hapo kweli teh....
Kujikojolea kwani ni issue? Kubwa inahusika
gonga youtube kwa hii video then share halafu copy and paste whenever you want it.you will be good.
Hapana aisee lkn hapo huna ujanja kukimbia huwezi,kubaki huwezi naona waweza umalize haja zote papo hapo kwa uoga dah
Kwa hiyo nguo zilichafuka?
Dawa ilikuwa kutulia tu usali sala ya toba na kama alokuwa na silaha karibu aitumie!Mie ningekuwamo humo ningelala chini ndani ya gari hahahahaha lol!!!! Kama angeanza kurarua watu hawa waliokaa ndio angewapa kipaumbele cha uraruaji.
Dawa ilikuwa kutulia tu usali sala ya toba na kama alokuwa na silaha karibu aitumie!
Inawezekana kweli ulale bila huyo leopard kukushtukizia!maana akikushtukia tu ndo ushakuwa mlo wa jioni teh!Unaweza pia ukasali ukiwa umelala ndani ya gari lol!!! Kule India hivi karibuni nadhani ni cheetah yule alikuwa ameenda kwenye makazi ya watu sasa wakawa wanajaribu kumtega ili wamkamate kabla hawajanikiwa kumkamata kwa sekunde chache aliweza kuwararua watu saba, badala ya kutaka kumkamata wakaishia kumtandika risasi na kumuua. Hawa jamaa speed yao si ya kawaida wakiamua kushambulia.
Hakuna lolote huyo chui wa kufungwa nyumbani, hawa jamaa wana matatizo sana.