Cheengee mzee wa vi bn kama nakuona na lumbesa la minoti ukitotoka mkombozi bank

Idofi

JF-Expert Member
Dec 14, 2010
2,255
1,952
Mtemi chenge we mzee kiboko, hv ushapiga dili ngapi mpk sasa? ukipona na hili mrudie mungu wako mzee wa upako anakusubiri ukatubu, mama anakoku tibaijuka mwizi mkubwa ww umetufanya sisi watu wa kigamboni kuwa masikini sababu ya ufisadi wako, hatukopesheki banki hati za viwanja vya kigamboni bank hazikubali, viwanja vyetu haviuziki tunazidi kutaabika, ulaaniwe mwizi mkubwa ww na vizazi vyako vyote
 
Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kutoa mawazo yaliyo vichwani mwa watanzania kuhusu sakata linaloendelea.Ni kweli kabisa linauiza sana mioyo ya watu hasa ukiangalia maisha ya watanzania yalivyokuwa magumu na unyonyaji unavyozid kuongezeka .Wameamua kuweka muda wa kujiandikisha kwenye daftari la mkazi ni wiki moja tu ili watu walioajiriwa na waliojiajiri wmaeneo ya mbali na makazi yao wasijiandikishe na mwishowe watajiandikisha wale watu wao wanaowabeba kama mizigo na kuwapeleka kujiandikisha na mwisho watawapigia kura.Sisi tunaopiga kelele huku mitandaon hatuliangalii hili swala kwa umuhimu wake.IKUMBUKWE KWAMBA KUTOA HUKUM KATIKA SWALA HILI LINALOENDELEA kwanza kabisa ni kuhakikisha tunaubadili mfumo kwan huwa wanashinda ngazi za juu kwa sababu ya hawa wajumbe 6 kila mtaa na mwenyekiti wao ukiangalia makadirio nchi nzima wakishinda mitaa yote zidisha familia za viongopz wa mtaa,wanachama,mabalozi wanakuwa tayar wameshinda uchaguz8i....KAJIANDIKISHE MWISHO JUMAMOSI WIKI HII ILI UWEZE KUPIGA KURA YA KUMCHAGUA MKT NA WAJUMBE SITA KATIKA MTAA WAKO.MIMI TAYARI KWANGU KAWE
 
ukiwa na baba mpiga dili kama chenge hadi rahaa teh teh teh

ukiwa na baba kama pinda au jk wanaolala wakiruhusu uwiz wa mchana kweupee ni hadi aibu sana
 
Back
Top Bottom