Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC. Yeye ndo alikuwa Presiding officer kwenye uchaguzi wa urais 2017. Anaitwa Mr. Wafula Chebukati MBA, LLB, BMX, CNN, AI.Chebukati ndio nani ?
huyu Chibukati agongwe tu. tabia tabia zake za kupenda skati zilimfanya Roselyn Akombe akaingia mitini. mimi personally nilikuwa na crush na one Consolata Nkatha.... yaani nilikuwa napenda anavyotembea na kila anapoongea. i hope hakupita naye View attachment 648546
Ukiona hivi elewa haijakuwa rahisi kupigwa picha,Hivi inakuaje mtu unakubali mpaka kupigwa picha hivo,ukijijua una tabia hizi nunua bunduki
Kaamua kutembea na babu kabisa...Aisee, imetokea wikendi hii ndani ya hoteli moja hapa jijini..wazee wa kuchepuka bora tubaki kwenye njia kuu mazee View attachment 648532
Ninalaani vikali vitendo vya huyu Chebukati. Amelitia dosari kubwa taifa la Kenya. Duh, sasa yale mafaili nyeti ya tume huru aliyaficha chini ya uvungu wa kitanda?Aisee, imetokea wikendi hii ndani ya hoteli moja hapa jijini..wazee wa kuchepuka bora tubaki kwenye njia kuu mazee View attachment 648532
Jamaa boss mkubwa hvyo ndio anaenda kugongea demu kwenye viguest vya 500Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC. Yeye ndo alikuwa Presiding officer kwenye uchaguzi wa urais 2017. Anaitwa Mr. Wafula Chebukati MBA, LLB, BMX, CNN, AI.
Hahaha kwa status ya jamaa na hyo guest sidhani, kwanza picha haionekani vizuri inawezekana wamemfanisha tuHehehe. Zinaitwa guest za kulambana. Naona hadi bei unazifahamu.