kuku wa kienyeji huyo, mtamu balaa, unatafuna hadi mfupa, hanuki kikwapa maana hata deodorant haijuihuyo zaidi ya sabuni yake na rangi yake ya Bic, kanunua bic nyekundu huyokila ikiisha anapaka kidogo tena, wana akili sana hawa, acha hawa wa mjini hadi wapake ma-spray na makemikali kibao ndio at least uwezekum-feel. Muulizieni Ngoswe alivyomuona Mazoea.........Napenda sana hii kitu hii, basi itokee tu, si ndio neema za Allha hizi Sheikh
Amavubi copy right
he he he Cheupe Mangala