ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,952
Kweli mkuu hata sera zake haijazitangaza wameanza kulalamika,waangalie wasijetumika kama maliberals..Chama kipya hata hakijatangaza sera zake kinaanza kulalamika.
Mie ntakikumbuka kama chama cha kulalamika kwa kuwa habari ya kwanza niliyosoma kuhusu hiki chama ni ya kulalamika.