kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Ben Saanane huu ni mwamba aisee! Maana kila salia linalia juu ya huyu jamaa sasa hadi CHAUUMA Ben kumbe ndo kaiua basi ni kazi nzuri sana maana sisi hatutaki vyama vya kipuuzi vinavyopandikizwa na MICCM na MICUF.
beni ni kijana mwana siasa msomi anae juwa kujenda na kupambanua hoja, ni kweledi na mzalendo wa kweli....sio hao mizoga kila kukicha ni kujadili kija wa watu
Last edited by a moderator: