Mwenendo wa kampenii wa chama chetu uko vizuri sana. Mpk sasa hakuna hata mgombea wetu mmoja wa udiwani ama ubunge aliyeenguliwa.
Kampeni za mgombea urais zina utulivu mkubwa na zinafanywa kisayansi Sana tena kwa gharama nafuu kabisa.
Watanzania endeleeni kutuunga mkono 28/10/2020 tuiondoe CCM tuboreshe lishe.
Kumbuka:
UBWABWA NI SEHEMU TU YA LISHE tunayoipigania Chauma.
Kampeni za mgombea urais zina utulivu mkubwa na zinafanywa kisayansi Sana tena kwa gharama nafuu kabisa.
Watanzania endeleeni kutuunga mkono 28/10/2020 tuiondoe CCM tuboreshe lishe.
Kumbuka:
UBWABWA NI SEHEMU TU YA LISHE tunayoipigania Chauma.