D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,258
Kwa Mara ya kwanza tangu yapotee mabasi ya Scandinavia Leo nimeenjoy kusafiri kutoka Iringa mpaka daresalaam baada ya kupanda gari za hii kampuni kwangu nawapa maksi za Juu hususani customer care yao
Customer care,hii ndo imenifurahisha kwa kweli wahudumu ni wakarimu na muda wote wapo karibu na abiria kusikiliza kama kuna tatizo.
Achilia mbali mambo ya bites na vinywaji walivyogawa njiani maana najua yapo makampuni kadhaa yanatoa huduma hii ila pia nimeenjoy jinsi gari ilivyo yaani inapita kwenye mabonde husikii chochote tofauti na gari nyingine(kuna siku nilipanda gari inaitwa nova nilijuta).
Kufika morogoro kutokana na kihali cha mvua wahudumu wakatushauri tufunge vioo hapo ikawa full AC nadhani hawakuwasha kuanzia iringa kutokana na baridi ila tulivyowasha moro ni mpaka dar.
Wenye akili fupi watasema tangazo lakini nawashukuru management nzima ya haya magari naomba muendelee hvyohvyo,wengi huwa wanabweteka baada ya kupata maendeleo nawashauri muendelee na ubora mlionao pia makampuni mengine ni vyema mkaiga kwa hii kampuni.
Daima ntaendelea kutumia usafiri wenu hongereni
Customer care,hii ndo imenifurahisha kwa kweli wahudumu ni wakarimu na muda wote wapo karibu na abiria kusikiliza kama kuna tatizo.
Achilia mbali mambo ya bites na vinywaji walivyogawa njiani maana najua yapo makampuni kadhaa yanatoa huduma hii ila pia nimeenjoy jinsi gari ilivyo yaani inapita kwenye mabonde husikii chochote tofauti na gari nyingine(kuna siku nilipanda gari inaitwa nova nilijuta).
Kufika morogoro kutokana na kihali cha mvua wahudumu wakatushauri tufunge vioo hapo ikawa full AC nadhani hawakuwasha kuanzia iringa kutokana na baridi ila tulivyowasha moro ni mpaka dar.
Wenye akili fupi watasema tangazo lakini nawashukuru management nzima ya haya magari naomba muendelee hvyohvyo,wengi huwa wanabweteka baada ya kupata maendeleo nawashauri muendelee na ubora mlionao pia makampuni mengine ni vyema mkaiga kwa hii kampuni.
Daima ntaendelea kutumia usafiri wenu hongereni