Chatu aliyeshiba

Hussein Njovu

Senior Member
Sep 25, 2006
186
74
431451_175873875849294_137042976399051_184043_1040049578_n.jpg
 
Kama sio kitu mbuzi sijui au waziri wetu manake sijamsikia siku nyingi
 
Kesha meza alicho meza na anakula siesta kwani weekend ndiyo imesha anza.
 
nasikia ukimkuta dizain hiyo alivyoshida ni easy sana kumuua,je ni kweli?
 
nasikia ukimkuta dizain hiyo alivyoshida ni easy sana kumuua,je ni kweli?
Ni kweli lakini kama ataona kuna hatari yoyote na inabidi akimbie basi hujitapisha/cheulisha na kutema hicho kilicho tumboni ili akimbie au kujihami.
 
Huyu ukikutana naye unaweza poteza Network fluu!

Kama ulikuwa unaelekea mashariki unawejikuta uko kusini!

Pepo mchafu sana huyu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom