Hussein Njovu
Senior Member
- Sep 25, 2006
- 186
- 74
Ni kweli lakini kama ataona kuna hatari yoyote na inabidi akimbie basi hujitapisha/cheulisha na kutema hicho kilicho tumboni ili akimbie au kujihami.nasikia ukimkuta dizain hiyo alivyoshida ni easy sana kumuua,je ni kweli?
Mh kazi kweli kweli kameza nini huyu?
Kule DRC (Kongo) kitoweo cha nguvu!Avatar yako inanileweshaaa! Aaagh.