Chatting ya nape huko facebook.

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,223
View attachment 37124Nape siku zote anakuwa na majibu mabaya,ukipinga hoja yake facebook anakuremove kwenye friends zake,Hivi mpaka lini ataweza kukibia hoja za watu?kama anashindwa kumjibu mwananchi wa kawaida je anaweza kuwajibu viongozi wa ngazi za juu?
 
View attachment 37124Nape siku zote anakuwa na majibu mabaya,ukipinga hoja yake facebook anakuremove kwenye friends zake,Hivi mpaka lini ataweza kukibia hoja za watu?kama anashindwa kumjibu mwananchi wa kawaida je anaweza kuwajibu viongozi wa ngazi za juu?

Before nilikua namheshimu sana Nape.. Toka awe katibu mwenezi, Amejishushia sana heshima! Anaongea vitu ambavyo kwa kijana kama yeye havifai.. Kutokana na Ombwe la uongozi, nilitegemea kijana Nape atuongoze bila kujali itikadi za vyama, lakini badala yake amekua ni mtu wa kauli za ajabu ajabu na Hoja nyepesi nyepesi za kulipana visasi vya kisiasa.. SHAME ON U NAPE na CCM yako..
 
Yaani anashangaza kweli,ukiona hata vitu anavyopost wala huwezi ukamfaninisha na kijana aliyeishia la saba.
Before nilikua namheshimu sana Nape.. Toka awe katibu mwenezi, Amejishushia sana heshima! Anaongea vitu ambavyo kwa kijana kama yeye havifai.. Kutokana na Ombwe la uongozi, nilitegemea kijana Nape atuongoze bila kujali itikadi za vyama, lakini badala yake amekua ni mtu wa kauli za ajabu ajabu na Hoja nyepesi nyepesi za kulipana visasi vya kisiasa.. SHAME ON U NAPE na CCM yako..
 
Nape ni dikteta, haambiliki wala hashauriki na anaogopa sana kukosolewa.
Kwa kifupi ana superiority complex. Anajiona yeye ni bora na mwenye akili kuliko watu wote duniani
 
Mara nying watu kama nyie huwa hampingi hoja zake kwa hoja bali n kwa matuc..sasa kama mnam2kana kwa nn hacwa remove?...na mbna hauzungumzii uktoa thread jf ya kuwarekebsha chadema walpokosea unapgwa ban!nyie mna chuk zenu bnafc na huyu jamaa kwa kuwa anawaumiza vchwa yan anawakalsha sana2...
 
Tatizo lake ni kukataa ushauri na kudharau watu

Nape ni dikteta, haambiliki wala hashauriki na anaogopa sana kukosolewa.
Kwa kifupi ana superiority complex. Anajiona yeye ni bora na mwenye akili kuliko watu wote duniani
 
Kwani hapo kuna tusi umeliona?sasa hivi kashaunfriend huyo

Mara nying watu kama nyie huwa hampingi hoja zake kwa hoja bali n kwa matuc..sasa kama mnam2kana kwa nn hacwa remove?...na mbna hauzungumzii uktoa thread jf ya kuwarekebsha chadema walpokosea unapgwa ban!nyie mna chuk zenu bnafc na huyu jamaa kwa kuwa anawaumiza vchwa yan anawakalsha sana2...
 
Mara nying watu kama nyie huwa hampingi hoja zake kwa hoja bali n kwa matuc..sasa kama mnam2kana kwa nn hacwa remove?...na mbna hauzungumzii uktoa thread jf ya kuwarekebsha chadema walpokosea unapgwa ban!nyie mna chuk zenu bnafc na huyu jamaa kwa kuwa anawaumiza vchwa yan anawakalsha sana2...
Ningekuwa Moderator ningekutaka uthibitishe na ukishindwa unakuna ban...pumbavu zako
 
Yaani anashangaza kweli,ukiona hata vitu anavyopost wala huwezi ukamfaninisha na kijana aliyeishia la saba.

Kijana alieyeishia Darasa la 7 ana busara kuliko Nape, siku zinapozidi kwenda mbele na kiburi chake kinazidi na heshima yake inapungua kwa Ari zaidi Kasi zaidi. Pumbafu sana
 
hakuwa kama zamani,zamani alikuwa anajicontrol sana ila siku hizi anaropoka sana

Kijana alieyeishia Darasa la 7 ana busara kuliko Nape, siku zinapozidi kwenda mbele na kiburi chake kinazidi na heshima yake inapungua kwa Ari zaidi Kasi zaidi. Pumbafu sana
 
<span style="font-family: comic sans ms"><font size="3"><b>Kijana alieyeishia Darasa la 7 ana busara kuliko Nape, siku zinapozidi kwenda mbele na kiburi chake kinazidi na heshima yake inapungua kwa Ari zaidi Kasi zaidi. Pumbafu sana</b></font></span>
hahahahahaaaa!
Aseeee! Umenichekesha sana!
 
Nape kama anachukia, anaonyesha kuwa ni maskini wa Hoja, msimlaumu uwezo wake ndo unaishia hapo - gap- afanyeje?
 
utakuta anaanza kukuambia ''mungu akusamehe''
Nape kama anachukia, anaonyesha kuwa ni maskini wa Hoja, msimlaumu uwezo wake ndo unaishia hapo - gap- afanyeje?
 
View attachment 37124Nape siku zote anakuwa na majibu mabaya,ukipinga hoja yake facebook anakuremove kwenye friends zake,Hivi mpaka lini ataweza kukibia hoja za watu?kama anashindwa kumjibu mwananchi wa kawaida je anaweza kuwajibu viongozi wa ngazi za juu?

Kumbe wanaagiza Madereva kutoka South Africa kuja kuwaendesha kwani Tanzania hakuna Madereva? Duuh nilikuwa sijui mkuu. Daaah Magamba wanahamisha ajira zetu kila kukicha
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom