😃😃Mbona wana hangaika sana...!!??
Nashauri na makao makuu ya nchi yahamishiwe huko pia...
Daah,ilikuwa kama utani kumbe kweli!Baada ya Waziri Ummy kueleza hayo, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo inayoongozwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba walicheka.
Na bado mengi mazuri yako njiani yanakujaDaah,ilikuwa kama utani kumbe kweli!
Sijui sisi Kigoma tutapata Rais aliyezaliwa huku lini?Na bado mengi mazuri yako njiani yanakuja
Akipatikana mumuombee apende home kwakeSijui sisi Kigoma tutapata Rais aliyezaliwa huku lini?
Sio apende,tutaomba apendelee alikozaliwa na miradi mingi aelekeze Kigoma!Akipatikana mumuombee apende home kwake