Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Hahaha utalii wa mashamba ya miti

Mi5 tena.
unaona sasa ndio mana nasema unapotaka kuzubgumizia mas ala aya utalii weka uchama pemben.lolote utalipinga madamu tu kafanya usiyempenda
utalii wa miti ni eneo ambalo hatujalitilia mkazo,kwa nin nasema,huko maulaya wemamaliza kila kitu cha kisayans iliyobak nikuja kujionea aina mbalimbal za miti.unafikir tukiweka botanical garden nzuri ikawa na kila aina ya miti na tukaweka scientific name zake,aina za magonjwa zinazotibu,bidhaa zinazotokana na mti huo ikawa elim hatujapata???
unajua kama mjeruman posta aliweka botanical garden na akapanda kila aina ya mti?? emu achaga unazi wa kichama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Kenya wanasema karibu Kenya uone mlima Kilimanjaro, mimi nasema karibu Chato uone mbuga ya Serengeti, au nasema uongo ndugu zanguni...
 
Eti Chato ni eneo tulivu inapendwa na watalii, kumbe Tanzania siku hizi sio kisiwa cha amani tena, amani iko Chato!.
Kuna mtu kachanganyikiwa sasa kaamua kuwachanganya na watendaji waandamizi wa serikali. Nchi imepoteza mwelekeo.
 
Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?..
Nafikiri hawa watu siku wakiondoka Duniani, wakazikwe Chato ili siku za mbeleni watakaokuwa bado wanaishi na wageni waende wakatalii huko kushuhudia mabaki ya watu wanafiki Duniani.
 
Eti Chato ni eneo tulivu inapendwa na watalii, kumbe Tanzania siku hizi sio kisiwa cha amani tena, amani iko Chato!.
Tofautisha utulivu na amani, mbona mnaonyesha kupungukiwa akiri siku hizi?
Sehemu tulivu ni sehemu isiyo na makerere ya kukufanya usijisikie vibaya,

Amani inaweza kuwapo lakini ukakosa utulivu mahara pale,
Kunaweza kuwa na makerere au kitu kinachokufanya ukose furaha lakini amani ipo.
Mjitambue basi.
 
Kama Kenya wanasema karibu Kenya uone mlima Kilimanjaro, mimi nasema karibu Chato uone mbuga ya Serengeti, au nasema uongo ndugu zanguni...

Tofauti ni kwamba ukiwa Amboseli Kenya, Mlima wa Kilimanjaro unaonekana clearly and besides makubaliano baina ya wakoloni wa kijerumani waliokuwa wanatawala Tanganyika na wakoloni wa Uingereza walio kuwa wanatawala Kenya kuhusu Mlima wa Kilimanjaro ambao enzi hizo ulikuwa nchini Kenya, walikubaliana kwamba wafanye marekebisho kwenye mipaka ili Mlima Kilimanjaro uchukuliwe na Tanganyika wakati huo huo Badari ya Mombasa ichukuliwe na Kenya.
.
 
Eti chato kuna vivutio vingi vya utalii ikiwepo utalii wa maji na utalii wa mashamba ya miti pia Chato kuna amani na utulivu sana kitu ambacho kinawavutia sana watalii 🤣 🤣 🤣
Utter non sense...huyu mtu wa mpira ndo maana alifungiwa maisha !!
Sehemu zina world heritage status huyu anatuambia mahali kumejaa jongoo !!
 
Katika kuzurura kwangu twitter nikakutana retweet hii juu ya kushamiri kwa utalii hukooo Chato
Nikasema nilete hapa kwa wadau
Screenshot_20210114-004644.png
 
Sijui huyu Ndumbaro ana PhD ya ushuzi? Kwani hata kama Magufuli alikupa ubunge wa bure na uwazirí wa utalii lazima alipe fadhila kwa kujipendekeza kizembe namna hiyo?....
Kwa nini zisifutwe sasa hivi ushahidi wa madudu yao ukiwa bado moto.
 
Eti chato kuna vivutio vingi vya utalii ikiwepo utalii wa maji na utalii wa mashamba ya miti pia Chato kuna amani na utulivu sana kitu ambacho kinawavutia sana watalii
Kwa hiyo watalii wanaijua Chato kuliko Kilimanjaro?! Chato imetangazwa lini duniani hata watalii wavutiwe nayo?
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Chato the sillycon of Tanzania. Jiwe anafikiria kujenga uwanja wa ice hockey.
 
Eti Chato ni eneo tulivu inapendwa na watalii, kumbe Tanzania siku hizi sio kisiwa cha amani tena, amani iko Chato!.
Hahahah na anasema.linafikika hata kwa njia ya maji, 😆😆 dah yajayo yanafurahisha sanaa
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom