Chato yatangazwa kuwa kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Karbuni chato kumenoga
FB_IMG_1610536743558.jpg
 
Kwa yanayoendelea Chato ili Magufuli aeleweke anapaswa kupeleka miradi mikubwa pia kwa watangulizi wake tofauti na hapo dhana ya upendeleo itapata nguvu na kuwapa cha kusema wenye nia ovu.
Kwanini hawakupeleka wenyewe?
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Mmmm! Let us wait to see what will happen after 5 years. Will this tempo continue?
 
Hana akili kabisa.

Hii nchi zaidi 85% ya watalii huwa wanakuja kwa ajili ya mbuga ya Serengeti tu, kisha Ngorongoro 5% na mbuga nyingine zote combined ndio wanachangia 10% halafu leo uje kuweka Chato kitovu cha utalii?

Sasa naona kwa kuwa Chato ndio kila kitu sasa, naomba tuwasaidie kupendekeza ni vitu gani vipelekwe Chato.

UDSM, IFM, UDOM, UN, World Bank, IMF, na taasisi zote kubwa naomba zihamie Chato ili tuifanye Chato kua "Calafonia" ya Afrika.

Chato kujengwe kituo kikubwa cha kijeshi, Chato waweke deport kubwa ya magari, Chato kujengwe viwanda vikubwa vya ndege, Boeing wajenge kiwanda Chato, Toyota ijenge kiwanda kikubwa cha magari. Muhimbili wahamie Chato.

Nashauri Dunia iitazame Chato kwa jicho la pekee sana.
Ni hatari
 
kusaidia huku kunafanya watu tuwe tuna ramba miguu ya wakubwa lol huyu naye n professa kaz ipo!!!!
 
Hana akili kabisa.

Hii nchi zaidi 85% ya watalii huwa wanakuja kwa ajili ya mbuga ya Serengeti tu, kisha Ngorongoro 5% na mbuga nyingine zote combined ndio wanachangia 10% halafu leo uje kuweka Chato kitovu cha utalii?

Sasa naona kwa kuwa Chato ndio kila kitu sasa, naomba tuwasaidie kupendekeza ni vitu gani vipelekwe Chato.

UDSM, IFM, UDOM, UN, World Bank, IMF, na taasisi zote kubwa naomba zihamie Chato ili tuifanye Chato kua "Calafonia" ya Afrika.

Chato kujengwe kituo kikubwa cha kijeshi, Chato waweke deport kubwa ya magari, Chato kujengwe viwanda vikubwa vya ndege, Boeing wajenge kiwanda Chato, Toyota ijenge kiwanda kikubwa cha magari. Muhimbili wahamie Chato.

Nashauri Dunia iitazame Chato kwa jicho la pekee sana.
Kuna wazungu wengi wanakuja kwaajili ya fukwe za bahari. Hili eneo lingetakiwa kuendelezwa livutie zaidi.
 
Chato ni bab kubwa, yaani unaambiwa hospitali ya Chato Ina hadhi ya juu kuliko Bugando.

Ivi hata unajua kama bugando n private hospital au hujui???


Kwaiyo bugando ndo unaona babukubwa??? Huna takwimu

Tembelea mkapa hosptal dodoma
Mlogazila pwan
Mhimbili dar
 
Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa

Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi

Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.

Now it`s chatoz time, ila kiukweli tanzania tukiwa na vitovu kama hivi me huwa navipenda kweli
 
Back
Top Bottom