Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 551
- 1,272
Me Five Again
Mojawapo ya maeneo yatakayotambuliwa na UNESCO kama urithi wa dunia. Tumpongeze Ndumbaro hope siyo shortsightedSerengeti iko northen circuit.
Karbuni chato kum
watu wanajua kuchezea fedha aiseeKarbuni chato kumenogaView attachment 1676425
ipo mkoa wa mara na simiyuSerengeti iko kanda ya ziwa mkoa wa Mara labda sema Ngorongoro.
Kwanini hawakupeleka wenyewe?Kwa yanayoendelea Chato ili Magufuli aeleweke anapaswa kupeleka miradi mikubwa pia kwa watangulizi wake tofauti na hapo dhana ya upendeleo itapata nguvu na kuwapa cha kusema wenye nia ovu.
Mmmm! Let us wait to see what will happen after 5 years. Will this tempo continue?Waziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
Ni hatariHana akili kabisa.
Hii nchi zaidi 85% ya watalii huwa wanakuja kwa ajili ya mbuga ya Serengeti tu, kisha Ngorongoro 5% na mbuga nyingine zote combined ndio wanachangia 10% halafu leo uje kuweka Chato kitovu cha utalii?
Sasa naona kwa kuwa Chato ndio kila kitu sasa, naomba tuwasaidie kupendekeza ni vitu gani vipelekwe Chato.
UDSM, IFM, UDOM, UN, World Bank, IMF, na taasisi zote kubwa naomba zihamie Chato ili tuifanye Chato kua "Calafonia" ya Afrika.
Chato kujengwe kituo kikubwa cha kijeshi, Chato waweke deport kubwa ya magari, Chato kujengwe viwanda vikubwa vya ndege, Boeing wajenge kiwanda Chato, Toyota ijenge kiwanda kikubwa cha magari. Muhimbili wahamie Chato.
Nashauri Dunia iitazame Chato kwa jicho la pekee sana.
Yoye hyo ni kanda ya ziwa mkuuipo mkoa wa mara na simiyu
Kuna wazungu wengi wanakuja kwaajili ya fukwe za bahari. Hili eneo lingetakiwa kuendelezwa livutie zaidi.Hana akili kabisa.
Hii nchi zaidi 85% ya watalii huwa wanakuja kwa ajili ya mbuga ya Serengeti tu, kisha Ngorongoro 5% na mbuga nyingine zote combined ndio wanachangia 10% halafu leo uje kuweka Chato kitovu cha utalii?
Sasa naona kwa kuwa Chato ndio kila kitu sasa, naomba tuwasaidie kupendekeza ni vitu gani vipelekwe Chato.
UDSM, IFM, UDOM, UN, World Bank, IMF, na taasisi zote kubwa naomba zihamie Chato ili tuifanye Chato kua "Calafonia" ya Afrika.
Chato kujengwe kituo kikubwa cha kijeshi, Chato waweke deport kubwa ya magari, Chato kujengwe viwanda vikubwa vya ndege, Boeing wajenge kiwanda Chato, Toyota ijenge kiwanda kikubwa cha magari. Muhimbili wahamie Chato.
Nashauri Dunia iitazame Chato kwa jicho la pekee sana.
Chato ni bab kubwa, yaani unaambiwa hospitali ya Chato Ina hadhi ya juu kuliko Bugando.
Now it`s chatoz time, ila kiukweli tanzania tukiwa na vitovu kama hivi me huwa navipenda kweliWaziri wa Utalii na Maliasili, Dkt. Damas Ndumbaro akiwa ziarani Mkoani Geita ametangaza rasmi kuwa Chato ndio kitovu cha Utalii Kanda ya Ziwa
Amesema wamefikia uamuzi huo kwasababu kuna Utalii wa aina mbalimbali katika Wilaya hiyo ikiwemo wa Misitu, Maji, Hifadhi za Taifa na Uwindaji. Pia, Uwanja wa Ndege wa Chato utawezesha Watalii kusafiri kwa uhakika na urahisi
Vilevile, Waziri Ndumbaro ameielezea Chato kuwa eneo tulivu, hali ambayo inapendwa na Watalii.
sio private ni joint venture ya serikali na kanisa la katolikiIvi hata unajua kama bugando n private hospital au hujui???
Kwaiyo bugando ndo unaona babukubwa??? Huna takwimu
Tembelea mkapa hosptal dodoma
Mlogazila pwan
Mhimbili dar