Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kama ni nyomi hakuna eneo ambalo Lissu na Magu wamesimama halafu Lissu akakusanya watu kushinda Magufuli.

Nyongeza ya hapo Magufuli anapita mamillioni ya wapiga kura njiani waliojipanga kwa sababu hana ratiba ya kusimama maeneo hayo (Mkuu party affiliation aside ngoja nikutafutie video uone Magufuli anapita watu wengi njiani kutokana na tight schedule yake).

Ni hivi ushindi wa Lissu upo JF tu yaani kuna baadhi ya viongozi wa CDM wanamwita Lissu raisi huko Twitter na tunajua mwenye mamlaka ya kumtangaza raisi wa nchi hii ni tume ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe bado sasa watu kama hao wakipelekwa Lupango utasikia wanadai wanaonewa.
Watu wanakuwa wengi kwa Magufuli kwa sababu huwa wamekusanywa kwa nguvu zote. Upinzani una nguvu kubwa Tanzania. Kwa miaka 5 CCM imefanya siasa peke yake na kujiaminisha kuwa 2020 upinzani utakuwa umekufa. Kinyume chake CCM inataabishwa.
 
..ninachosema mimi ni kwamba TL hana "luxury" ya kuchagua wapi apige kampeni na wapi asipige.

..TL na Cdm wanatakiwa wapige kampeni maeneo yote kama wana nia ya kweli ya kushinda uchaguzi.
Well walau umekuwa mkweli pamoja na kuzurura kote kwa Lissu ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu this contest is as good as over.
 
Unasoma sana JF ebu ongea na wakazi wa (tafuta ndugu zako kabisa) Magufuli ana support Dar kushinda sehemu nyingine yoyote Tanzania.
Dar maisha watu yamewapiga hapati kitu sema wanaume wa dar waoga ,wanamuopa
 
Wasalaam.
Hakika kwa mwenendo wa kampeni za tundu wananchi wengi vijijini wamemwelewa na kuna uwezekano mkubwa ktk uchaguzi ccm wakaangukia pua. Ukiangalia you tube mkutano aliofanya Leo kijiji cha mbongwe kahama akielekea geita utasadiki maneno haya

Lissu babalao kwaheri ccm.
 
Kama ni nyomi hakuna eneo ambalo Lissu na Magu wamesimama halafu Lissu akakusanya watu kushinda Magufuli.

Nyongeza ya hapo Magufuli anapita mamillioni ya wapiga kura njiani waliojipanga kwa sababu hana ratiba ya kusimama maeneo hayo (Mkuu party affiliation aside ngoja nikutafutie video uone Magufuli anapita watu wengi njiani kutokana na tight schedule yake).

Ni hivi ushindi wa Lissu upo JF tu yaani kuna baadhi ya viongozi wa CDM wanamwita Lissu raisi huko Twitter na tunajua mwenye mamlaka ya kumtangaza raisi wa nchi hii ni tume ya uchaguzi na uchaguzi wenyewe bado sasa watu kama hao wakipelekwa Lupango utasikia wanadai wanaonewa.
Lisu anajaza nyomi zaidi kuliko magufuli anajaza nyomi kuliko lowasa utabisha na hili ata wale watu wanaompokea magufuli wanatolewa mkoa mzima hivyo kusababisha kuwa na usafiri wa shida pia umesahau kila sehemu magufuli anakopita wanafunzi hawaendi shule
 
Dar maisha watu yamewapiga hapati kitu sema wanaume wa dar waoga ,wanamuopa
Wewe utakuwa wale ambao maslahi yenu yameguswa, lakini wengi wanakubali maisha bado magumu kama ilivyokuwa miaka yote kabla yake. Walau sasa hivi kuna haki wana dar es salaam walikuwa wananyanyasika mtu anakupora haki yako mchana unapakukimbilia, watendaji wajeuri etc sasa hivi raia regardless ya nafasi yake anaanza heshimiwa.

Isitoshe mazingira ya miundombinu ipo sasa kuchochea uchumi, cost of living ameishusha kiasi ukitoa sukari inflation ya chakula is slow na rent za nyumba ni stable for almost five years.

Ni hivi mnajufurahisha Magufuli Dar hana mpinzani.
 
Well walau umekuwa mkweli pamoja na kuzurura kote kwa Lissu ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu this contest is as good as over.
Mbona kwenye kampani Magufuli anapiga magoti kuomba kura Kama anajiamini?

Magufuli wapeleke mchaka mchaka

Ondoeni wasanii na kusamba watu na malori muone chamoto!
 



Tazama nyomi ambayo Magufuli anaipita kwa sababu ya ratiba yake kuwa tight; zipo nyingi hizo video.

Mkuu, hiyo ilikuwa badaye baada ya nguvu kupungua. Alipoanza alikuwa anapiga mikutano mpaka 5 kwa siku na anasimima kila mahali kusalimia. Toka alipotoka Chato mapumzikoni, hapigi zaidi ya mikutano 3 kwa siku na hakuna kusimama simama. Baada ya leo anarudi tena mapumzikoni .... Huoni mpaka Jannet ameletwa kumtia moyo na nguvu .... usije kuta wanambugiza glucose ili kupata nguvu .....!!
 
Wewe utakuwa wale ambao maslahi yenu yameguswa, lakini wengi wanakubali maisha bado magumu kama ilivyokuwa miaka yote kabla yake. Walau sasa hivi kuna haki wana dar es salaam walikuwa wananyanyasika mtu anakupora haki yako mchana unapakukimbilia, watendaji wajeuri etc sasa hivi raia regardless ya nafasi yake anaanza heshimiwa.

Isitoshe mazingira ya miundombinu ipo sasa kuchochea uchumi, cost of living ameishusha kiasi ukitoa sukari inflation ya chakula is slow na rent za nyumba ni stable for almost five years.

Ni hivi mnajufurahisha Magufuli Dar hana mpinzani.
Nadhani unaongea kwa hisia na mahaba ya kilevi.
Hamna mwenye jibu sahihi la nani atapata kura nyingi DSM na hamna hata moja wao atakayepata above 65% DSM
Kama unafanya research alafu unachagua data zako hovyo utachanganywa sana.
 
Mkuu, hiyo ilikuwa badaye baada ya nguvu kupungua. Alipoanza alikuwa anapiga mikutano mpaka 5 kwa siku na anasimima kila mahali kusalimia. Toka alipotoka Chato mapumzikoni, hapigi zaidi ya mikutano 3 kwa siku na hakuna kusimama simama. Baada ya leo anarudi tena mapumzikoni .... Huoni mpaka Jannet ameletwa kumtia moyo na nguvu .... usije kuta wanambugiza glucose ili kupata nguvu .....!!
Ndio maana nawaambia anachofanya sasa ni kutoa heshima kwa wapiga kura keshaona huko njiani watanzania bado wanamuhitaji aitajii tena kutumia nguvu kama Lissu tena.

Anyway wafuasi wa CDM huwa wanapenda kubisha tu atauwaeleze ushahidi watabadili maneno.
 
Nadhani unaongea kwa hisia na mahaba ya kilevi.
Hamna mwenye jibu sahihi la nani atapata kura nyingi DSM na hamna hata moja wao atakayepata above 65% DSM
Kama unafanya research alafu unachagua data zako hovyo utachanganywa sana.
Nakushauri kaongee na wananchi wakuelezee freedom waliyoipata na jinsi Magufuli alivyowaonesha wao wanathamani kuliko ilivyokuwa awali.
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
we M-sege
Anza kumwita hata Sasa kwani sii Mia mbili tu,Bali wote.
Lissu Simnba wa Yuda
Ishu imekuwa sura tena ? Shetani umemfahamia wapi ? Kama kamtukana Rais mfungulieni mashtaka kwani ni kosa la jinai. Navyokumbuka hotuba ya Lisu, alisema wazi kabisa hatalipiza kisasi. Sasa wewe umeitoa wapi? Au unatafuta uhalali wa kumdhuru mtu kisa mnatofautiana kisiasa? Lakini mmeshajaribu mwanzo ni tabia zenu.
Lissu ashasema halipizi kisasi ila kisasi ni juu ya Mungu, sidhani kama hawa ewatu wanaokatwa mapanga, kupigwa risasi na mabom mungu ataacha hivi hivi, sidhani kwakweleli.
 
Dar maisha watu yamewapiga hapati kitu sema wanaume wa dar waoga ,wanamuopa
Huku dar kila Jimbo kuna kamati ya uhamasishaji,vijana na wakinamama wanakula buku kumi Hadi 15.per campaign

Niyeye 2020.
 
Chuma kipo imara sana. Kina subiri kuapishwa tyuuu
IMG-20201013-WA0053.jpg
 
Back
Top Bottom