Wananjamvi-Mbunge Kalemani aliahamaisha sana watu kufanya wiring tayari kwa kuvuta umeme, Vijiji vya Bikaka na Nyakakarango tukafanya hivyo hadi tukaletewa Control namba ya kulipia umeme mnano mwezi wa tisa lakini hadi hivi sasa haujapata umeme.
Je, huu waziri wa Nishati na Pia Mbuge sijui kwanini hataki kusikiliza matatizo ya wananchi wake na kuyafanyia kazi. Mwananchi kauza kuku, Ngombe na kufanya wiring,, bado serikali ikaleta control namba tukalipa lakini hatuunganishiwi umeme.
Je, kuna nini nyuma ya pazia au ndo pesa zimeliwa na wananchi kutapeliwa na mbunge wao na serikali yao?
Nini wananchi tufanye kupata haki yetu ya umeme?
Je, huu waziri wa Nishati na Pia Mbuge sijui kwanini hataki kusikiliza matatizo ya wananchi wake na kuyafanyia kazi. Mwananchi kauza kuku, Ngombe na kufanya wiring,, bado serikali ikaleta control namba tukalipa lakini hatuunganishiwi umeme.
Je, kuna nini nyuma ya pazia au ndo pesa zimeliwa na wananchi kutapeliwa na mbunge wao na serikali yao?
Nini wananchi tufanye kupata haki yetu ya umeme?