johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,561
Karibu TBC tufuatilie mapokezi ya Rais wa Uganda mh Yoweri Kaguta Museveni mjini Chato mkoani Geita.
Up dates;
Rais Museveni ameshawasili na nyimbo za taifa zinapigwa pamoja na ule wa Afrika ya mashariki.
Sasa ni wakati wa kuomba dua na anaanza kiongozi wa Bakwata na amefuatiwa na askofu Severini wa Kanisa Katoliki.
Rais Magufuli anamkaribisha mgeni wake ambaye ametokea Angola na kuja direct Chato aweze kuongea na watanzania.
Rais Museveni anaanza kuelezea maana ya neno Chato na anasema kuna chato cha zizi la ng'ombe, chato cha pombe na chato cha wavuvi.
Museveni anasema wakati waislamu wanaenda Hijja Mecca na wakatoliki wanaenda Roma yeye na wapigania uhuru wote kusini mwa Afrika Hijja yao ni Dsm nchini Tanzania.
Up dates;
Rais Museveni ameshawasili na nyimbo za taifa zinapigwa pamoja na ule wa Afrika ya mashariki.
Sasa ni wakati wa kuomba dua na anaanza kiongozi wa Bakwata na amefuatiwa na askofu Severini wa Kanisa Katoliki.
Rais Magufuli anamkaribisha mgeni wake ambaye ametokea Angola na kuja direct Chato aweze kuongea na watanzania.
Rais Museveni anaanza kuelezea maana ya neno Chato na anasema kuna chato cha zizi la ng'ombe, chato cha pombe na chato cha wavuvi.
Museveni anasema wakati waislamu wanaenda Hijja Mecca na wakatoliki wanaenda Roma yeye na wapigania uhuru wote kusini mwa Afrika Hijja yao ni Dsm nchini Tanzania.