Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
Acha kiherehere, mbona wewe na Msigwa ndiyo mlikuwa mkipiga picha na kusambaza kwenye social media? Shwain
Sent using Jamii Forums mobile app
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.
RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P
Sent using Jamii Forums mobile app