TANZIA Chato: Rais Magufuli afiwa na dada yake leo (17 Mei 2020)

Acha kiherehere, mbona wewe na Msigwa ndiyo mlikuwa mkipiga picha na kusambaza kwenye social media? Shwain
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Why kimya kimya if its true.?

Na kuonyesha huu msiba ni kipindi hiki, salama za kuaga zinatolewa bila jeneza kufunguliwa.

Wangeweka wazi wananchi tumpe pole na rambirambi.

======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.

View attachment 1452969


Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.

View attachment 1452971
View attachment 1452976
Hatari sana, It appears ni ghafla au siyo
 
Habari hii mbona inatia shaka kidogo! Mbona hakuna aliye vaa barakoa? Hali ilivyo sasa hivi kuna Mtanzania yeyote anaweza kudhulia kwenye misiba bila ya kuvaa facemask.
 
Why kimya kimya if its true.?

Na kuonyesha huu msiba ni kipindi hiki, salama za kuaga zinatolewa bila jeneza kufunguliwa.

Wangeweka wazi wananchi tumpe pole na rambirambi.

======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.

View attachment 1452969


Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.

View attachment 1452971
View attachment 1452976
RIP Mama Gaidensia
Nauliza,huu Msiba umetokea lini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANZIA: Rais Magufuli afiwa na dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa

> Marehemu amefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020 huko Chato mkoani Geita
> Anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo - Chato mkoani Geita

======

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka msibani katika mtaa wa Msilale Chato mkoani Geita mara baada ya kuaga mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita.

View attachment 1452969


Rais Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.

View attachment 1452971
View attachment 1452976
Sijaelewa lengo la uzi.Ni taarifa au ombi la kushirikisha msiba? Apambane kivyake kwani wengi wanakufa kila uchao!
 
The right to privacy ya Rais Magufuli na familia yake uheshimiwe!. Sisi wa Africa na extended families zetu, nilipokuwa RTD, kila siku napata wageni toka kijijini kwetu, wameelekezwa mkifika mjini, yule Mtangazaji Pasco Mayalla wa RTD ni Kaka yenu!. Just imagine ndio nije niwe Raisi!.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa.
P

Bwana Pasko, picha zimetolewa na Ikulu. Does it mean una uelewa mkubwa kuhusu "right to privacy ya Rais Magufuli" kuliko wasaidizi wake like Msigwa?
 
Pole raisi Magufuli kwa kufiwa na dada yako.

RIP Gaudensia Felician Marko Msangwa
 
Back
Top Bottom