Chato ni Wilaya pekee nje ya Dar iliyotembelewa na Marais na Viongozi mashuhuri wa dunia, ni halali kuifanya mkoa sasa

Marais waliowahi kuitembelea Chato ni pamoja na yule wa Ethiopia, Uganda, Rwanda, Kenya, Msumbiji, Sudan kusini, Burundi na Zanzibar.

Viongozi wengine wa kidunia ni pamoja na Waziri wa mambo ya nje wa China na Raila Odinga wa Kenya.

Pia mh Tundu Lisu kutokea Ubelgiji ambaye alikuja kugombea urais wa JMT alitembelea wilaya ya Chato mara mbili wakati wa kampeni.

Tuache nongwa Chato iwe mkoa.

Maendeleo hayana vyama!
Umemsahau Premeir wa China

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Marais waliowahi kuitembelea Chato ni pamoja na yule wa Ethiopia, Uganda, Rwanda, Kenya, Msumbiji, Sudan kusini, Burundi na Zanzibar.

Viongozi wengine wa kidunia ni pamoja na Waziri wa mambo ya nje wa China na Raila Odinga wa Kenya.

Pia mh Tundu Lisu kutokea Ubelgiji ambaye alikuja kugombea urais wa JMT alitembelea wilaya ya Chato mara mbili wakati wa kampeni.

Tuache nongwa Chato iwe mkoa.

Maendeleo hayana vyama!
Mwanzo mwanzo hata butiama ilikuwa hivyo hivyo leo nani anaenda???
 
Back
Top Bottom