Naibu waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba ametoa kiasi cha shilingi milioni moja ili kumsaidia mama huyo alielazwa katika hospitali ya Bugando mkoani Mwanza baada ya kujeruhiwa wakati akijaribu kumnusura mwanae ambae hivi sasa ni marehemu.
Kwa taarifa tu,hata Magufuli akiwa kama mbunge wa eneo analotoka mama huyo,jana nae alitoa kiasi kama hicho kumsaidia mama huyo.
Chanzo: ITV
Mkuu kama ulikua mawazoni mwangu najiuliza mauaji haya ni mara ya kwanza kutokea. Kwa sasa huyu mama pesa si kitu kwake kuna mahala kuna makosa kama viongozi wanatakiwa kuliona hili. Hii nchi yenye intelijensia ya hali ya juu kweli tushindwe kukabiliana na hawa maharamia wanaotumia sijui boda boda. Kiukweli inauma sana hasa siku zinavyokwenda na mauaji yanavyozidi kana kwamba hakuna cha kuwafanya.wamefanya juhudi gani kuzuia mauaji...au wanasubiri kutoa rambirambi tu!!!
Wanasiasa si watu wa kuamimi hasa walioko CCM.uwa nawashangaa watanzania,jambo zuri mnakejeli,jambo baya mnakejeli,mnataka nini?
watu wanajua malengo ya mtoajiuwa nawashangaa watanzania,jambo zuri mnakejeli,jambo baya mnakejeli,mnataka nini?
Ukute hao alioambatana nao ukijumlisha walizopata kwenye bahasha ni nyingi kuliko hiyo 1M aliyopewa huyo mamaMwenzao anatoa zawadi ya u-DC wao wanatoa m1! Halafu na waandishi wa habari kwa ajili ya advertise ya hiyo m1!
Subirini za mgongo tu kamwe hamtasalimika hata iweje magufuli atawanyoosha tu.
Subirini za mgongo tu kamwe hamtasalimika hata iweje magufuli atawanyoosha tu.
Atawanyoosha wakina nani? Sii ameshasema SITAWAANGUSHA ?? Kwa hiyo ni business as usual. Anyway back to topic, kwa nini mauaji ya Albino yalikuwa ndani ya eneo lake na hata siku moja hajaonekana akishirikiana na wakina Vick Ntetema kupiga vita?
Atakunyoosheni kwenu msiojinyoosha wenyewe mnaosubiri kunyooshwa!!!
akili za maiti hizi!!!
Hoja ngumu pana shaka magamba kama wataijibu kwa usahihi