Uchaguzi 2020 Chato: Msafara wa Tundu Lissu washambuliwa kwa mawe

Wala sishangai, bali ningeshangaa kama haya yasingetokea huko Chato.



Mkuu tuna taabu moja ambayo haitusaidii, Alivyofanyiwa Lissu haipendezi, lakini mgombea wetu pia kuna tuna akili timamu tumshauri lugha za kutumia, kumdhihaki, kumtwaza utu wake, kumdhalilisha nyumbani kwake haya aliyataka.

Na bahati mbaya usukumani yote ameomba kura kwa lugha anayo ijua ya kueleweka? Thre is something he was trying to achieve , the words was direct provocation.

Lissu atakuwa anatafuta kitu kingine sio kura. Mbona kote aliomba kura kwa ufasaha?

Msitupunguzie utamu wa huu mpambano, tunataka tuone mwisho wake wa kampeni, tupige kura na matokeo yake yatangazwe.
 
Hebu acha uzushi wewe! Hebu tuwekee hizo kauli za Lissu akiwa chato unazodai zilikuwa ni provocations.
Mkuu tuna taabu moja ambayo haitusaidii, Alivyofanyiwa Lissu haipendezi, lakini mgombea wetu pia kuna tuna akili timamu tumshauri lugha za kutumia, kumdhihaki, kumtwaza utu wake, kumdhalilisha nyumbani kwake haya aliyataka.

Na bahati mbaya usukumani yote ameomba kura kwa lugha anayo ijua ya kueleweka? Thre is something he was trying to achieve , the words was direct provocation.

Lissu atakuwa anatafuta kitu kingine sio kura. Mbona kote aliomba kura kwa ufasaha?
 
Natoa wito wa kirafiki na kiungwana kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Simon Sirro kujiuzulu kwa hiyari yake mwenyewe kutokana na kashfa ya kizembe iliyotokea Chato , kwa kuvamiwa na kuvunjwa kwa nyumba ya Mgombea ubunge wa Jimbo hilo kwa tiketi ya Chadema , na kama hiyo haitoshi kutupiwa mawe kwa msafara wa Mgombea Urais wa nchi hii anayeongoza kwenye kura ya maoni Mh Tundu Lissu baada ya Mkutano wake wa Kishindo wa Kampeni hapo hapo Chato huku polisi wakikenua meno kwa furaha , ni kashfa nyingine kwamba Sirro ameshindwa kuongoza Jeshi la Polisi , ambalo Jukumu la kuundwa kwake lilikuwa kulinda Raia na Mali zao .

Tangu Usiku wa kuamkia mkutano wa Lissu Chato kulikuwa na viashiria vyote vya kuwapo kwa kundi la waliolipwa ili kuharibu mkutano huo lakini jeshi la polisi linalojinasibu mara zote kuwa na uwezo wa kunusa matukio ya uvunjifu wa amani likikoroma usingizi wa pono kwa makusudi , sasa basi huu ni wakati muafaka kwa Sirro kujiondoa mwenyewe kabla ya kuondolewa kwa maandamano , ameshindwa kabisa kuongoza Polisi kufuata sheria za nchi , atoke .
 
Huenda ikawa kama unavyowaza,na kama ndivyo basi viongozi wa namna hiyo hawawezi kutufaa kwa namna yoyote ile.
sidhani kama kuna mtanzania anaweza kufanya fujo kwa mgombea...achilia mbali kundi la watanzania.

Kama ni kweli hao watu wamefanya fujo kwa hulka zao naturally
ina maana walipata
muda wa kujipanga na kuplan shambulio wakirisk kukamatwa na jela.
Kumbuka Lazima walijipanga kwasababu huwezi kusemaa ilitokea naturally kwasababu wao sio mashabiki wa Lissu kwahyo wasingeenda hata karibu naye to begin with...kitendo cha kuwepo kwa wingi ina maana walijipanga kabla.

Kujipanga hivo kwa msingi wa matakwa yao na utashi/mapenzi ya chama fulani bila kujali maslahi na usalama wao
HAIWEZEKANI

kutakuwa na faida waliyoipata/kuahidiwa na kuhakikishiwa Usalama wao na hawataenda jela

Mwenye uwezo wa kuwahakikishia hayo Lazima awe na vitu viwili
1.Madaraka/Mamlaka
2.Pesa

Polisi wasipowakamata itathibitisha mkono wa mtu mwenye hivyo vitu
 
Natamani kujua washambuliaji ni akina nani, wametumwa na nani na kwa maslahi gani, so far polisi wamechukua hatua gani?

Haya mambo yanaleta picha mbaya sana kwa ccm
Wachumia buku 7 hawawezi kukuelewa, picha inayojengwa ni kuwa ccm imekataliwa na sasa inaleta fujo tu
 
Lissu na Chato wapi na wapi wacha yamkute analeta siasa za majitaka wacha Chato wamfundishe
Hata mimi nashangaa, kwanini lissu kaenda chato wakati anajua dhahiri shairi chato ipo nje ya mipaka ya tanzania?.

Kwanini lissu kaenda kufanya kampeni za urais nje ya tanzania?.
 
Ku attack msafara wa mgombea yeyote sio jambo la kiungawana.

Lakini lazima uulize akili za strategist wa CDM kuna ulazima gani wa kumpeleka Lissu Chato?

This is just a provocation kwa watu wa Chato mambo mengine ni ya kujitakia anawapa walinzi wake binafsi na jeshi la polisi kazi ya ziada wakati mwingine.
Mzee ratiba si inaonesha au inamtaka afanye kampeni huko kwa siku ya leo!
 
Niko hapa Chato CCM wanafanya uhuni na uvunjaji wa Amani na Sheria mbele ya Polisi
Ila wananchi wamejitokeza kwa wingi kwelikweli CCM tokea jana walikuwa wanawatisha wananchi wasimpokee Raisi mtarajiwa Jemadari Tundu Lissu.
Eti Maccm hayataki TunduALissu alale Chato, yaani ni hivi mtake msitake leo TL atalala chato, nyie si mnajikuta watalaam wa kutoa roho za watu basi jaribuni leo muone, nyambafuuu
 
ni ujinga kujitoa muhanga kwa ajili ya siasa!
jali maisha yako na familia yako....siasa ni mapito tu....
unatoka katoro mbali kote unaacha kazi zako na familia yako kisa siasa?!!
 
Back
Top Bottom