Chato inafaa kujengwa Ikulu kubwa baada ya Dar es Salaam

Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato ,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.

6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko

8 Kiongozi (Raisi) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.

9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara

Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa Nne nchini na Chato ikiwemo
 
Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato ,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.

6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko

8 Kiongozi (Raisi) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.

9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara

Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa Nne nchini na Chato ikiwemo
800%



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma

1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji

2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.

3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.

4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.

5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.

6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida

7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko

8 Kiongozi (Rais) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.

9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara

Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa nne nchini na Chato ikiwemo
Na makao makuu ya EAC yahamishiwe huko pia? Au yabaki Arusha?
 
Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma

1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji

2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.

3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.

4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.

5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.

6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida

7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko

8 Kiongozi (Rais) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.

9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara

Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa nne nchini na Chato ikiwemo

Makao Makuu ya Nchi yatabaki kuwa Dodoma na Ikulu ni Dar es salaam na Chamwino Dodoma nyinyi jengeni Hotel tu ili mtumie vizuri Ziwa Victoria kwa Utalii na Hifadhi za Rubondo na Burigi
 
Nawaza hapa sijui itakua mwaka gani Rais atakaeingia madarakani,kabla ya kufanya chochote aite wabunge wote wa upinzani na chama tawala,maprofesa wa vyuo vikuu,wafanya biashara wakubwa na wadogo,wakuu wa vyombo vya usalama wa nchi yetu na kila mdau wakulima,wafugaji nk

Halafu lengo liwe kujadili mustakabali wa nchi yetu zitungwe sheria kali na rafiki kwa nchi yetu,ziwekwe sera hata 5 kwa kipindi cha miaka 100 mfano kama ni viwanda,kilimo na elimu basi Rais yeyote atakayeingia madarakani aende na sera hizo hizo kazi yake itakua kuzifanyia maboresho hii itasaidia kuondoa ile hali kila raisi atakayeingia madarakani kuja na mambo yake inakua tunaanza upya kila miaka 10.

Nawaza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna umri mtu ukifika yakupasa kutumia busara zaidi kuliko hisia.
 
Kawanyoodha na bad
Ila magufuli ana dharau yaani kahamisha Ikulu kienyeji alafu anajibu kirahisi kwani nkifa ntazikwa wapi,,Anasahau akifa sisi hatuna haja na maiti yake tunaweza kutupa hata baharini awe chakula cha Nyangumi
Kawanyoosha na bado chuma hicho.
 
Kwa mpango huu, kila Rais akifanya, utakuta tumejenga Tanzania yote kuwa Ikulu. Marais wenye jmla ya Mikoa yote mara mbili,watakuwa Marais zaidi ya 500. kila mmoja ajenge, utapata kila jirani yako humu Tanzania ni Ikulu.
 
Back
Top Bottom