Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,799
Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato ,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.
6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko
8 Kiongozi (Raisi) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.
9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara
Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa Nne nchini na Chato ikiwemo
800%Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato ,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.
6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko
8 Kiongozi (Raisi) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.
9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara
Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa Nne nchini na Chato ikiwemo
Uzi huu ni kipimo tosha cha akili za wanaCCM!We bwege bado unaamini ulinzi wa jeshi? Amerika pamoja na jeshi kubwwa kapigwa vibaya kutumia Cov 19.
Na makao makuu ya EAC yahamishiwe huko pia? Au yabaki Arusha?Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.
6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko
8 Kiongozi (Rais) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.
9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara
Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa nne nchini na Chato ikiwemo
Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.
6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko
8 Kiongozi (Rais) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.
9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara
Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa nne nchini na Chato ikiwemo
Kawanyoosha na bado chuma hicho.Ila magufuli ana dharau yaani kahamisha Ikulu kienyeji alafu anajibu kirahisi kwani nkifa ntazikwa wapi,,Anasahau akifa sisi hatuna haja na maiti yake tunaweza kutupa hata baharini awe chakula cha Nyangumi