Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,628
- 11,975
Akili mlishakakabidhi ka Polepole mmebaki na makopo tu kichwani!Chato ni eneo zuri ki ulinzi kwa kiongozi ikibidi zaidi ya Dar es salaam na Dodoma
1. Kiusalama imezungukwa na ziwa Lina visiwa zaidi ya 60; Ni rahisi kuondoshwa kupitia njia ya Maji
2. Ulinzi : Kuna vikosi vikubwa vinne . Biharamulo,Ngara, Rwamishenye,Kaboya na Kwa Mbali Mwanza . Kiulinzi kiongozi yupo salama.
3. Kuna Poli nene lenye Giza na kubwa . Linenda Uganda ,Rwanda,Kigoma mpk Katavi Lina mbuga za Burigi Chato,Rumanyika ,Kimisi ,Akagera na Rwenzori.
4. Chato ikifingwa ni rahisi kupitia Biharamulo na kuendelea bila kuathiri usafirishaji.
5. Ni Katikati ya nchi 5. Rwanda km 179 km ,Burundi 200km ,Uganda 300km. Kenya 60 Km. South Sudan ,Congo. . Kuendesha mikutano ya Viongozi wa EAC ni Rahisi kuliko Sehemu yoyote.
6 Robo tatu ya watanzania milioni 35 wanapakana na Chato . Mikoa ya Mwanza,Geita,Musoma,Simiyu,Shinyanga,Kigoma, Tabora na Kwa mbali Arusha na Singida
7. Kuna mandhari nzuri ya Kiongozi Mkubwa kupumzika mf. Kuvua Samaki ziwani,Kuwinda,Kutembelea mbuga ,kutembelea visiwa vya Rubondo na saa nane nk anapoitaji mapumziko
8 Kiongozi (Rais) ana muingiliano wa Wageni km yupo busy . Na hakuna pollution. Km majiji ya Dsm na Dodoma.
9. Kiongozi amezungukwa na viwanja vya ndege vikubwa vitatu. Bukoba, Chato na Mwanza. Na viwanja vikubwa vya jeshi viwili Biharamulo na Ngara
Ni wakati umefika tuwe na Ikulu kubwa nne nchini na Chato ikiwemo