kitendaguro kwetu
Member
- Oct 8, 2017
- 28
- 117
Kulingana na taarifa ya matokeo ya darasa LA saba halmashauri ya Chato imeingia top ten ya halmashauri zilizofanya vyema mtihani wa darasa LA saba Mwaka huu 2017, kumbukumbu hazionyeshi kwa miaka ya karibuni kama halmashauri hii ilikuwa na kiwango cha juu cha ufaulu hivyo nitoe pongezi kwa waliohusika kutengeneza mazingira bora ya Elimu na kufikiwa kwa mafanikio hayo.
Viongozi wengine wa kitaifa igeni mfano huu wa CHATO...........
Viongozi wengine wa kitaifa igeni mfano huu wa CHATO...........