Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,531
- 3,553
Asie kielewa atakuwa ni RC, DC, RPC, Mwalimu Mkuu na Afisa Elimu. Hao ndo wamefanya hicho kipengelw kiwe active.Kipimo cha uelewa kinatokana na uandikacho hapa,
Sasa hata kifungu cha mamlaka ya DC au RC hukijui unatetea tu,maana yake huelew hata uteteacho,usione haya google katiba angalia majukumu ya RCs na DCs
Unaona na mie ninavyo kupima uelewa wako !