Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,253
wakuu wa mikoa ni watendaji wa serikali si wana siasa kama inavyopotoshwa.Wanasiasa wana mamlaka makubwa sana; katiba mpya ndiyo tiba ya ugonjwa huo.
wakuu wa mikoa ni watendaji wa serikali si wana siasa kama inavyopotoshwa.Wanasiasa wana mamlaka makubwa sana; katiba mpya ndiyo tiba ya ugonjwa huo.
Sijui unafikiria kwa kutumia kiungo gani!ukiona mtu anatetea majizi ujue ni CHADEMA, miwatu mingine humu inalalamika ooooh wameonewa, hawajui watoto ambao wanadhurumiwa ni wakwao
Kwa ujenzi wa vijijini haina shida tofali na mawe vinakuwepo eneo husika for free ni tofauti na mikoa kama dar na pwani na mikoa mingine pia so kwa hiyo 75mls zinatosha isitoshe RC mwenywe ni engeener by professional75 milions kwa wahandisi kukukamilishia jengo la kuchukua wanafunzi 80 ni ndogo, may be liwe bora jengo.
Pole sana, inaonekana ulishirikishwa kupiga dili hiloSijui unafikiria kwa kutumia kiungo gani!
Huyo r.c. ndo anaetambua huyu ni mwizi na huyu so mwizi?
Na adhabu ya mwizi ni kukaa ndani masaa 48?
Hakuna ngazi ya kuwawajibisha wala mahakama!!
We endelea kushangilia mambo ya kipumbavu, huu mkondo unazidi kutanuka na siku moja utafika kwenye maisha yako.
Tena jengo limefikia hatua ya kupauwaSijaelewa ukubwa wa bweni uongezwe bila ya pesa kuongezwa?
Tunatofautiana vipaumbele.. Mie ni mmoja wa watu naoamini kwenye uelewa.. Sio kukariri.. Ubongo unakazi muhimu zaidi kuliko kuuchosha na kukariri tuuu... Unataka taarifa nitakuandalia there are books kuweka hizo taarifa...Watumishi wa serikali wanahitaji kuendeshwa mpaka wabalike kama sekta binafsi ilivyo, kama hata mkurugenzi wa halmashauri hajui kiasi cha pesa alizotumiwa na yeye ndio accounting officer so sad
Polisi ndo wanaanda mashtaka, Mahakamani si sokoni wenye !Nasema mpelekeni Mahakamani sio sero
Msingi, tofali, madirisha, kenchi, bati, plasta rangi, swith nane za umeme !75m ni fedha kidogo sana kwa ujenzi wa bweni la wanafunzi 80 lilijengwa kwa viwango vinavyohitajika. Watu wanatafuta sifa za kijinga.
Daah....jengo moja 50 bil !? Yalikuwa mangapi yale ?Ni yale magorofa aliyowadanganya wajinga kuwa yanajengwa kwa 10 bilioni kila moja halafu kila moja likala karibia 50 bilioni. Huyu bwana anawatumia wajinga bila huruma.
Watu wamanispaa wametoka saana kimaisha na pesa za mashule.Awamu hii waalimu wakuu na maafsa elimu wanapata wakati mgumu sana!
Chadema hawajawahi kuwa na akili ! Wanampigia deki Ya barabara Lowassa !ukiona mtu anatetea majizi ujue ni CHADEMA, miwatu mingine humu inalalamika ooooh wameonewa, hawajui watoto ambao wanadhurumiwa ni wakwao
Malizia kusoma taarifa yote basi ! Kuna maelekezo hapo RAS amepewa kuwashughulikia. Mbona Lissu mna muelewaga haraka sana !?So wakiwekwa ndani ndo kesi itakuwa imeisha?
mbowe anajifananisha na mzimu wa chama, eti chama kufa hadi yeye afe, kwahiyo mbowe ndo chama na wengine ni ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ndani ya chamaChadema hawajawahi kuwa na akili ! Wanampigia deki Ya barabara Lowassa !
Main issue ni watu kuwekwa ndani saa 48 na mawaziri wengi including Jaffo wa TAMISEMI amekemea sana hili,kama wamefanya kosa wapelekwe mahakaman,kwa sababu watumish wengi awam hii wamewekwa ndani kwa amri za hawa magavana na makamishina wa wilaya na mwishowe ikaonekana wala hawakuwa na makosa,Malizia kusoma taarifa yote basi ! Kuna maelekezo hapo RAS amepewa kuwashughulikia. Mbona Lissu mna muelewaga haraka sana !?