Chato, Geita: RC awaweka ndani masaa 48 Afisa Elimu Wilaya na Mkuu wa shule ya Zakia Meghji kwa kukiuka maagizo

Milion 75 zinatosha kujenga jengo la wanafunzi 80, kwani kikubwa hapo ni bati na ukuta tu.
Bweni halina mbwembwe kama nyumba ya kuishi
 
Pale yalitumika mabilioni sana ila mzee wa mihemko mara ya kwanza alijinadi kwamba atatumia pesa ndogo kwa kuwaaminisha kuwa mbana matumizi.
Watu kitambo walishazidokoa profoma na wakaona gharama halisi.
Ni yale magorofa aliyowadanganya wajinga kuwa yanajengwa kwa 10 bilioni kila moja halafu kila moja likala karibia 50 bilioni. Huyu bwana anawatumia wajinga bila huruma.
 
This is madness; when is it going to stop? Mbona PM alishaagiza tabia hii ya kuwadhalilisha watumishi wa umma ikome mara moja? RC huyo ni wa ajabu; atumbuliwe. Alichotakiwa kufanya ni kuagiza wahusika wachukuliwe hatua za kinidhamu au kisheria. Tangu lini masaa 48 mahabusu ikawa adhabu ya kiutumishi?
 
Awamu hii waalimu wakuu na maafsa elimu wanapata wakati mgumu sana!
 
This is madness; when is it going to stop? Mbona PM alishaagiza tabia hii ya kuwadhalilisha watumishi wa umma ikome mara moja? RC huyo ni wa ajabu; atumbuliwe. Alichotakiwa kufanya ni kuagiza wahusika wachukuliwe hatua za kinidhamu au kisheria. Tangu lini masaa 48 mahabusu ikawa adhabu ya kiutumishi?
Halafu masaa 24 ni kama kuna kuhatarisha usalama hapa atasingizia nn?
 
Huyu RC namkubali sana alifanya kazi safi sana Tanga mpaka leo wananchi wanamlilia
 
This is madness; when is it going to stop? Mbona PM alishaagiza tabia hii ya kuwadhalilisha watumishi wa umma ikome mara moja? RC huyo ni wa ajabu; atumbuliwe. Alichotakiwa kufanya ni kuagiza wahusika wachukuliwe hatua za kinidhamu au kisheria. Tangu lini masaa 48 mahabusu ikawa adhabu ya kiutumishi?

Si watakuwa wanahojiwa au?
 
Wawafuate wahandisi flats nne za udsm watarekebisha bila chenga. hata kama mtataka hostel hiyo ihimili wanafuzi 8000 badala ya 80 kwa hiyo hiyo pesa.
 
Aidha, Mhe. RC amemuagiza DED achukue hatua za kinidhamu kwa watendaji hao kwa mujibu wa taratibu za Utumishi wa Umma.

CHANZO: Geita Info
Kosa moja linakuwaje na adhabu mbili? Kama amewaweka ndani kwa kosa hilo hatakiwi kusema tena wachukuliwe hatua za kinidhamu kwani ilitakiwa ama achukue hatua za kinidhamu dhidi yao au awaweke ndani. Yeye kaamua kuwaweka ndani lakini tena bado anataka hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao!!

Na ni sheria gani aliyotumia kuwaweka hao watumishi wa umma ndani? Maana tunaambiwa inatakiwa sheria hiyo itumike pale tu ambapo hakuna Polisi na mtuhumiwa inaonekana atahatarisha usalama wa watu wengine.

Sasa haya mambo ya kuagiza na kuelekeza nini Polisi wanatakiwa kufanya ni kosa sana na mahakamani huleta shida kwenye kuthibitisha kosa!?

CC:
Petro E. Mselewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom