Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,830
- 2,881
Chatu hag'hati, anadaka anavunja vunja na kumeza...Umejua kunichekesha. Niliwaza hill, lkn niliwaza angeng'twa mtu ingekuwaje?
Chatu hag'hati, anadaka anavunja vunja na kumeza...Umejua kunichekesha. Niliwaza hill, lkn niliwaza angeng'twa mtu ingekuwaje?
Hawana utaalamu wa miujiza, hata wewe usipokua muoga unaweza kumshika , cha maana ni kuwa tu makini asijiviringishe mwilini hata kidogo, kwa sababu ndio njia yake ya kuwinda kwa kuvunja vunja windo lake kabla ya kulimeza. ila haumi, hana sumu.Serikali imewatafuta wataalanu wa miujiza ya kiasili.kumbeba .Wale mnaobeza Manabii Wakristo watenda miujiza pateni somo.Serikali inahitaji pia watenda miujiza.Mnaopiga Vita Manabii wa miujiza na msioamini mambo ya miujiza oneni Hilo.Wachawi wametumika kubeba chatu kumpeleka pori la serikali.Vinginevyo ngoma ilikuwa nzito
Hawa wajinga wajinga hawakawii kupeleka hata binadamu ili kutoa kafara. Jamaa wa kule wanaendekeza sana mambo ya giza
Sio kasepa kabebwa kwa nguvu na Askari.Amenyimwa haki Yake ya kula sadaka alizopewa na waumini wake.Watetezi wa wanyama mko wapi?
Mnyama Hana haki ya kuabudiwa Kama mungu? Wanasheriaa mko wapi kumtetea huyo mungu nyoka ambaye kabebwa kanisani mbele ya sadaka na mbele ya waumini wake waliokuwa ibadani usiku na mchana kumsubiri apokee sadaka zao? Waumini wake wameingiliwa Uhuru wao wa kuabudu waliopewa na katiba kwa nguvu kwa kuporwa mungu wao tena kipindi Cha sadaka ibadani
Nadhani walizidi upole. Ingefaa zaidi wawa south afrika wote walioingulia ibada yaoSio kasepa kabebwa kwa nguvu na Askari.Amenyimwa haki Yake ya kula sadaka alizopewa na waumini wake.Watetezi wa wanyama mko wapi?
Mnyama Hana haki ya kuabudiwa Kama mungu? Wanasheriaa mko wapi kumtetea huyo mungu nyoka ambaye kabebwa kanisani mbele ya sadaka na mbele ya waumini wake waliokuwa ibadani usiku na mchana kumsubiri apokee sadaka zao? Waumini wake wameingiliwa Uhuru wao wa kuabudu waliopewa na katiba kwa nguvu kwa kuporwa mungu wao tena kipindi Cha sadaka ibadani
Hao waabudu nyoka wanajiona wako sahihi na wanaiona Imani yako ya kishenzi tu.Kila mtu akisema Imani ya mwenzie ya kishenzi nchi haitakalika.Cha msingi tuheshimu katiba kujua kila mtu ana Uhuru wa kuabudu chochote na kila mtu asimwingilie mwingine .Shika chako ulicho nacho Cha mwingine mwachie mwenyeweAcheni imani za kishenzi
? Ushirikina tuMamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori nchini Tanzania (Tawa) imemchukua nyoka mkubwa aina ya chatu aliyeonekana katika kijiji cha Kasala kata ya Makurugusi wilayani Chato mkoani Geita.
Kwa mujibu wa ofisa habari wa halmashauri ya wilaya ya Chato, Richard Bagolele amesema nyoka huyo anapelekwa pori la akiba la Kigosi wilayani Kahama kuhifadhiwa.
Nyoka huyo anayeanza kuonekana siku saba zilizopita aligeuka kivutio kwa wananchi waliodai kuwa ni baraka, wengi kushinda porini wakimtazama huku wakiwa na mbuzi, maji na unga wakiamini endapo nyoka atakula watapata baraka ya mvua, kuongezeka kwa mavuno.
Akizungumza leo Jumatano Septemba 11, 2019 amesema Tawa iliwatafuta wataalam wa nyoka kutoka makumbusho ya Bujora waliofanikisha kumchukua nyoka huyo aliyekuwa katika kichuguu akiwa amelalia mayai 20.
Mmoja wa Wananchi wa kijiji hicho, Philipo Maduhu amesema nyoka huyo ni baraka kwao na halmashauri haikupaswa kumuondoa.
View attachment 1204482
Aiseeee !!Kwasababu ni washamba
Mkuu tuache utani japo kidogo , hivi unawezaje kuabudu nyoka au kenge , ukamuacha Mungu wa kweli aliyejidhihirisha wazi kabisa ?Hata wewe na li rozali lako bado unajiona unaakili ,wewe ni mjinga kama hao unadhani kujisifu kuwa we ni muislamu au mkristo inauharisia kiasi gani
nothing has really schocked me like what is taking place in chato, how on earth can you worship an animal, a snake of all things, and you give that snake zawadi, and you say italeta baraka, any wonder tz ni taifa ambalo litazidi kuwa masikini mpaka mwisho wa dunia, na si chato ndio nyumbani kwa mkubwa???Niliyoyaona kwa watu hawa wakimtukuza chatu na kummiminia zawadi mbalimbali wakiwemo wanyama kama Mbuzi na kuku , huku wakimtaka nyoka awaletee baraka , sijawahi kuona mahali pengine popote na nikiri kwamba sikuwahi kudhani kama nchi hii ina watu duni wa kiwango hiki .
Hii maana yake ni kwamba madhehebu ya dini wakiwemo na wale mitume 400 wameshindwa kumtangaza Mungu wa kweli miongoni mwa waumini wao , hii kwangu nimeichukulia kama aibu kubwa sana kwa jumuiya ya wacha Mungu nchini Tanzania
and if you try and do a bit of investigation, you will came to realise that majority of those doing this evil act of worshipping a snake are church members of various churches around chato, mungu saidia watzKwasababu ni washamba