MELEKIZEDECK
Member
- Sep 25, 2012
- 15
- 0
Wakati wakazi wa eneo lenye mgogoro na kiwanda cha Wazo Hill maarufu kama Chasimba, Wakisubiri kwa hamu kusikia kutoka kwa waziri Tibaijuka hatima ya makazi yao.
Kikundi kinachojita Mungiki kimeunda jopo la watu kadha kwenda kwa Mkurugenzi wa manispaa kudai kumilikishwa eneo hilo, hii imetokana na waziri Tibaijuka Kuchelewa kutoa tamko kuhusu mgogoro huo,huku wakazi wengine wakiendelea kujenga nyumba zao.
Kikundi kinachojita Mungiki kimeunda jopo la watu kadha kwenda kwa Mkurugenzi wa manispaa kudai kumilikishwa eneo hilo, hii imetokana na waziri Tibaijuka Kuchelewa kutoa tamko kuhusu mgogoro huo,huku wakazi wengine wakiendelea kujenga nyumba zao.