Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Mara nyingi nimejikita zaidi ktk jukwaa la siasa na kuwa msomaji tu wa jukwaa hili. Hata hivyo, mada hii ya ujasiria mali iliyoanzishwa na Chasha huku mimi nikiwa mdau wa fani hiyo imeniibua ili nami nitoe mchango wangu.
Kwanza nakubaliana na chasha kuwa tatizo la kimsingi ni elimu ya ujasiria mali. Na vile vile natoa pongezi za dhati kwamba yuko njiani kuacha kazi. Sijui tajiri aliyeajiriwa ila najua matajiri wengi wajasiriamali/wafanya biashara - Hongera sana.
Hata hivyo, sikukubaliani na mtazamo wa mmoja kwa moja wa kwamba ujasiria mali ni kitu unazaliwa nacho na kwamba kuna wengine hata wakisomeshwa elimu ya ujasiria mali kwa kiasi gani ama wakijisomea vitabu vya ujasiria mali kwa kiasi gani hawatafanikiwa - Hapa nina mawazo tofauti.
Kwa maoni yangu,
Tofauti kati ya maskini na tajiri hapa Tz na duniani ni upungufu wa elimu ya ujasiria mali. Idadi kubwa ya masikini tulio nao wasomi na wasio soma, vijana kwa wazee, waafrika kwa wazungu na wa kike na wa kiume ujinga inatokana na upungufu wa elimu ya ujasiria mali.
Ni ngumu sana kukubaliana moja kwa moja kwa 100% na dhana kwamba kuna watu ambao wamezaliwa maskini na wengine wamezaliwa matajiri kwa hoja kwamba wengine wana traits za ujasiria mali na wengine hawana - HAPANA.
Ninakubalina kwa kiasi fulani kuwa kuna born na made interpreners lakini tofauti kati yao itakuwa ktk kiwango cha mafanikio ikiwa wote wawili watapata elimu ya ujasiria mali sawia. Yaani born interprener atakuwa na kasi na ubunifu na ujasiri wa hali ya juu na hivyo kumshinda mwenzake kifedha, wakati made interprener atakuwa tajiri ila hatamfikia born enterprener kutokana na kuzidiwa ktk baadhi ya traits za ujasiria mali.
Kuna ushahidi mwingi kwamba kuna watu wengi waliopata ufahamu\elimu juu ya ujasiria mali wakafanikiwa na kutajirika bila kujali kama ni born or made enterpreneurs na vivyo hivyo, born interprener atamtangulia made interprener. Na ifahamike kwamba kabla hawajafunguliwa macho wote wawili walikuwa maskini sawia.
Mwisho, kama wote wawili - born na made interpreners wakiwa vijijini kabisa na hawajui kusoma na kuandika na hawana ufahamu wo wote wa ujasiria mali mara nyingi wote wawili wanaweza pia kuwa maskini sawia - hatuna ushahidi wa kuonesha vinginevyo.
Kwanza nakubaliana na chasha kuwa tatizo la kimsingi ni elimu ya ujasiria mali. Na vile vile natoa pongezi za dhati kwamba yuko njiani kuacha kazi. Sijui tajiri aliyeajiriwa ila najua matajiri wengi wajasiriamali/wafanya biashara - Hongera sana.
Hata hivyo, sikukubaliani na mtazamo wa mmoja kwa moja wa kwamba ujasiria mali ni kitu unazaliwa nacho na kwamba kuna wengine hata wakisomeshwa elimu ya ujasiria mali kwa kiasi gani ama wakijisomea vitabu vya ujasiria mali kwa kiasi gani hawatafanikiwa - Hapa nina mawazo tofauti.
Kwa maoni yangu,
Tofauti kati ya maskini na tajiri hapa Tz na duniani ni upungufu wa elimu ya ujasiria mali. Idadi kubwa ya masikini tulio nao wasomi na wasio soma, vijana kwa wazee, waafrika kwa wazungu na wa kike na wa kiume ujinga inatokana na upungufu wa elimu ya ujasiria mali.
Ni ngumu sana kukubaliana moja kwa moja kwa 100% na dhana kwamba kuna watu ambao wamezaliwa maskini na wengine wamezaliwa matajiri kwa hoja kwamba wengine wana traits za ujasiria mali na wengine hawana - HAPANA.
Ninakubalina kwa kiasi fulani kuwa kuna born na made interpreners lakini tofauti kati yao itakuwa ktk kiwango cha mafanikio ikiwa wote wawili watapata elimu ya ujasiria mali sawia. Yaani born interprener atakuwa na kasi na ubunifu na ujasiri wa hali ya juu na hivyo kumshinda mwenzake kifedha, wakati made interprener atakuwa tajiri ila hatamfikia born enterprener kutokana na kuzidiwa ktk baadhi ya traits za ujasiria mali.
Kuna ushahidi mwingi kwamba kuna watu wengi waliopata ufahamu\elimu juu ya ujasiria mali wakafanikiwa na kutajirika bila kujali kama ni born or made enterpreneurs na vivyo hivyo, born interprener atamtangulia made interprener. Na ifahamike kwamba kabla hawajafunguliwa macho wote wawili walikuwa maskini sawia.
Mwisho, kama wote wawili - born na made interpreners wakiwa vijijini kabisa na hawajui kusoma na kuandika na hawana ufahamu wo wote wa ujasiria mali mara nyingi wote wawili wanaweza pia kuwa maskini sawia - hatuna ushahidi wa kuonesha vinginevyo.