Charles Mwijage: Nina watoto hii kazi naipenda

Akiwa kwenye ofisi ya umma ana ziona fursa nyingi tu za kujiajiri, akifukuzwa humo fursa zinapotea ana anza kulialia. Asiogope mbona wengine tupo kitaa tu miaka mingi??!! Aje ajiajiri na yeye.
 
Kwa mawazo na akili hizo hawezi toka nje ya box na hatoweza kufikirisha akili zake, atabaki humo na kuwa speaker ya Magu.
 


Nawaomba mliopewa viwanda, mniepushe na kikombe hiki. Msiniponze, kazi yangu naipenda na mwenzenu nina watoto - Waziri Mwijage

Hovyo sana,unafiki mtupu.Wanapowaambia vijana wakajiajiri?!Kumbe kuajiriwa kutamue.......
 
Njaa mbaya sanaa!!! Sikiaa tuuu! Siasa ziacheni wanachoongea majukwaani sio kilicho kweli pumbavu!!! Nunua vyerehani 4 uanzishe kiwanda chako........unaogopa nini sasa!!! Nyambafuu!!!!
 
Mi ananifurahishaga jinsi anavyo present complicated issues in simpler terms...by the way tukiacha unafki huyu mzee akipata support ya resources na plan nzuri ni manager mzuri(anajua MBWA strategy)..wataalamu wa mgt najua mnanielewa...
 
akanunie chereani nne aanzishe kiwanda........ ccm bhana kiboko yao ni TWAWEZA
 
Ndo maana hana dira yoyote ya viwanda,kumbe kila anachofanya ni kulinda watoto wake.

Hofu yake nini akitumbuliwa,kwana yeye si ni mtaaalamu wa mambo ya husuyo viwanda!,au ndo kusema utaalamu huo hawezi kuu apply akiwa nje ya siasa?.ujingaujinga tuu
 
Napenda sana namna huyu waziri anavyoongea huwezi kuacha kucheka kabisa,

Hivi huyu si ndio mmiliki wa mabus ya OTA
 

Nawaomba mliopewa viwanda, mniepushe na kikombe hiki. Msiniponze, kazi yangu naipenda na mwenzenu nina watoto - Waziri Mwijage.

Waziri anaonekana amepaniki sana. Rais Magufuli alipotembelea Pwani, alimuagiza kuhakikisha wote walipewa Viwanda lakini hawaviendeshi wanyang'anywe. Leo alitembelea Kwanda cha Bora. Alipoongea na wanahabari akawambia "Wambie watu wote, waniepushe na kikombe hiki, Wote mliopewa Viwanda kwa bei ya kutupwa, nmepewa amri tarehe 22 mwezi wa Sita kwaka 2017, na leo mheshimiwa Mavurunde amejibu swali kwa niaba yangu.

Msiniponze nina watoto na hii kazi naipenda. Aliyepewa kiwanda kama hujui utakifanyia nini uje unione nikwambie uje umuone msajili wa Hazina. Mimi ni mtaalam wa shughuli hizi, uje unione nikueleze kama nlivyomfanya mheshimiwa Bora, Bora walikuwa wanafanya Magodauni nikawambia don't do that. Wameanza na ntahakikisha bidhaa yote ya bora inauzwa.

Taasisi za Serikali lazima muiconside Bora, Vatu vyote vitanunuliwa bora.

Hakuna viatu vitapita bandarini kama havina TBS. Unakuta binti anatembea halafu miguu inalemaa Sendoff inaharibuka. Kwahiyo Viatu vya wakina Mama lazima Viwe na TBS.

Ikibidi nitawawekea na TFDA, Ntawawekea na NEMC kule bandarini kusudi vitu vinavyokuja viwe vya Ubora“. Amesema Mwijage.

Nmemuonea huruma sana. Anaongea hadi machozi yanataka kumtoka. Pole sana Waziri Mwijage

Mzee wa SOUND!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom