Charles Kimei: One of the most exposed and reputable banking top executives in East & Central Africa. Hakupaswa kujiingiza katika siasa hizi za vyama

1. Charles Kimei kama Mtanzania yeyote ana haki ya kikatiba ya kujiunga na chama chochote cha siasa, au kutojiunga,ana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, au kuomba kuchaguliwa.

2. Charles Kimei kwangu mimi hakuwa na integrity yoyote ya maana. Alisema anamuogopa Magufuli sana na atafanya chochote Magufuli atakachosema.

Kauli hii kutoka kwa mtu mume inawekea shaka utu wake na uanaume wake. Kutoka kwa CEO wa Benki, inatilia shaka integrity ya benki hiyo.

Maana ni kama alisema kwamba Magufuli angetaka kuiba hela za CRDB aende kuzitumia kwenye uchaguzi, Kimei angekubali tu.

Hivyo sioni Kimei atapoteza integrity gani, wakati alikuwa hana integrity tangu mwanzo.
Mimi intergrity yake mzee Kimei nimeiona ila kama wewe haujaiona sawa baki na mtazamo wako huo huo mkuu.
 
Mzee ubishi kama kawaida yako
Bila ubishi hakuna maendeleo.

Hata waliovumbua taa za umeme walibishia jamii kukubali kuishi kwa mishumaa.

Chuoni darasani nishawahi kupewa A+ darasa la falsafa, nikaambiwa sihitaji kwenda kufanya mtihani wa mwisho wa semeseter, kwa sababu ya ubishi.

Hakuna elimu bila ubishi.Kitendo cha kutaka kujifunza tu ni ubishi dhidi ya ujinga.

Ubishi si tatizo.

Tatizo labda uniambie wenye ubishi usio na tija.

Katika ubishi huu nimejifunza kwamba huyu Kimei anayesifiwa kuwa role model, alishiriki kwenye kupiga hela za EPA.

Role model kaangaliwa kwenye darubini, kapwaya.

Bila ubishi, nisingejua hilo.
 
Bila ubishi hakuna maendeleo.

Hata waliovumbua taa za umeme walibishia jamii kukubali kuishi kwa mishumaa.

Chuoni darasani nishawahi kupewa A+ darasa la falsafa, nikaambiwa sihitaji kwenda kufanya mtihani wa mwisho wa semeseter, kwa sababu ya ubishi.

Hakuna elimu bila ubishi.Kitendo cha kutaka kujifunza tu ni ubishi dhidi ya ujinga.

Ubishi si tatizo.

Tatizo labda uniambie wenye ubishi usio na tija.

Katika ubishi huu nimejifunza kwamba huyu Kimei anayesifiwa kuwa role model, alishiriki kwenye kupiga hela za EPA.

Role model kaangaliwa kwenye darubini, kapwaya.

Bila ubishi, nisingejua hilo.
Ubishi wako hauna tija
 
Ubishi wako hauna tija
Tija kwako si sawa na kwangu, kwa hiyo ubishi wako kwamba ubishi wangu hauna tija, nao hauna tija.

Kuna watu walikuwa hawamjui Kimei vizuri, kupitia mabishano ya uzi huu wamemjua.

Huyo ni mbunge.

Sasa ukisema wananchi kuelimishana kuhusu wabunge wao ni jambo lisilo na tija, inawezekana kwako wewe mambo yenye tija ni yale ambayo mimi pia nayaona hayana tija.

Kama vile kuja hapa na kuniparata.

Usiniparate.
 
Tija kwako si sawa na kwangu, kwa hiyo ubishi wako kwamba ubishi wangu hauna tija, nao hauna tija.

Kuna watu walikuwa hawamjui Kimei vizuri, kupitia mabishano ya uzi huu wamemjua.

Huyo ni mbunge.

Sasa ukisema wananchi kuelimishana kuhusu wabunge wao ni jambo lisilo na tija, inawezekana kwako wewe mambo yenye tija ni yale ambayo mimi pia nayaona hayana tija.

Kama vile kuja hapa na kuniparata.

Usiniparate.
Sasa ndio umeandika nini hapa?
 
Sasa ndio umeandika nini hapa?
Sijaandika tu, nime brainstorm.

Kama una ubongo wa sisimizi, hilo si tatizo langu.

Kama hujaelewa sehemu, uliza ueleweshwe.

Kama unabisha, weka ubishi wako kwa facts and figures.

Kama unataka ku troll, get off my dilsnick.
 
Mleta uzi amempamba sana Kimei kuwa ni mbobezi wa mambo ya kibenki Tanzania na Afrika Mashariki nzima; cha kushangaza ni kwamba huyo Kimei hajajitambua na ndio maana akakubali kwenda kudhalilishwa wakati wa kuusaka ubunge na kwenda kwa Sangoma!!!! Unajua kiasi gani cha mikopo chefuchefu Kimei aliiacha alipostaafu CRDB? Unajua kuwa hiyo mikopo chefu chefu aliitoa kwa hao wanaoitwa mafisadi wakina Manji? Je hakufaidika na hiyo mikopo chefu chefu kwa wakina Manji?

Huyo Kimei wenu hakuingia ccm kwa bahati mbaya bali aliingia huko kama njia ya kujikinga na uchafu alioufanya akiwa huko CRDB!!! CCM ni kichaka cha wahalifu.
Bulesii, peleka taarifa hizi Takukuru sio hapa, kama unaushahidi na taarifa zako. Kinyume cha hapo kaa kimya.
 
Back
Top Bottom