Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #101
Mhh, aiseeNchi yetu watu wengi huchanganyikiwa uzeeni.
Mhh, aiseeNchi yetu watu wengi huchanganyikiwa uzeeni.
Mtani, habari za masiku mengi?Mhh, aisee
Maneno mengine humu JF watu wanatunga tuMimi pia sikuwahi kuisikia hiyo kauli mkuu
JF kuna makada wa CCM na CHADEMA. Kuwa nao makini sana wale wa CHADEMA kwa maana wao akili hawanaDaaah inafikirisha sana kwa kweli
Umejitahidi kufafanua sojaExposure ni "noun" sasa "verb" yake ni ipi?
Expose: to provide someone with the opportunity to experience new ideas, activities etc so that they can learn about them.
For Example: Schools are again "exposing" children to the classics.
Ninaomba unisahihishe kama nimekosea mkuu.
He is one of the most exposed and reputable top executives in banking and finance industry kwa hapa Tanzania na East Africa. Hakupaswa kuonesha mlengo wa wazi wazi wa chama chochote cha kisiasa kiwe upinzani au tawala.
Kimei hana njaaNdugu, unaijua njaa kweli?
sawa BossKimei hana njaa
Sawa Mshana wa ugwenosawa Boss
Mbona Kimei ni mzee wee jamaaKukaa bila kazi nayo ni kazii sana ,halafu bado anasomesha huyo kijana...
Mzee kwako,,sie tuliosoma na kina jomo Kenyatta,,huyo bado ni kijana sana..Mbona Kimei ni mzee wee jamaa
Upo sahihi sana...1. Charles Kimei kama Mtanzania yeyote ana haki ya kikatiba ya kujiunga na chama chochote cha siasa, au kutojiunga,ana haki ya kuchagua kiongozi anayemtaka, au kuomba kuchaguliwa.
Hii nayo ni changamoto sana mkuu. Uzalendo bila kuwa na pesa inahitaji moyo sana.Utakuwaje Mzalendo wakati wachache tu ndio wanafaidi keki ya taifa?
Pesa ndio msingi wa maisha ya kila siku ya mwanadamu mkuuHii nayo ni changamoto sana mkuu. Uzalendo bila kuwa na pesa inahitaji moyo sana.
Shikamoo babaMzee kwako,,sie tuliosoma na kina jomo Kenyatta,,huyo bado ni kijana sana..
Mkuu, kwani uliwahi kufanya kazi CRDB enzi za ujana wako?Upo sahihi sana...
Sasa hivi mchana bado sijala, nina njaa ya hatariNdugu, unaijua njaa kweli?
Huyu bora angeekaa nje ya siasa tu huko ni kujichoraDuuuh, hii sijui mimi mkuu na sio lengo la mada hii...
Duh muhenga kumbe wee jamaaMzee kwako,,sie tuliosoma na kina jomo Kenyatta,,huyo bado ni kijana sana..