Charles Kimei (CRDB) jiuzulu, kashfa ya kontena, tiketi TFF, wanafunzi na ujambazi CRDB

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,571
Ushauri kwa Kimei:

Imefika wakati wa kujitathmini na kuachia ngazi bila shuruti ili heshima yake ibaki palepale. Ni kiongozi aliyefail katika industry ya kibenki kwa kutofanya risk assessment;

1. Alianzisha mradi wa mabasi ya wanafunzi umekufa - haujawa endelevu.

2. Kaingia mkataba na TFF ; tiketi system, kanunua satellite dish; kujenga kingo za kuingilia.

3. Kuna taarifa la Jeshi la Polisi kuwa wafanyakazi wa benki kushirikiana na majambazi, tumeona matukio ya Mlimani City.

4. Kontena za TPA zilikuwa zinalipwa CRDB, zilikuwa zinafutwa kwenye mitandao IT Deparment.

5.Ufunguzi wa benki Burundi watu wa risk.

Ni wakati wa kujipima na kujiuzulu..
 
Ushauri kwa Kimei:

Imefika wakati wa kujitathmini na kuachia ngazi bila shuruti ili heshima yake ibaki palepale. Ni kiongozi aliyefail katika industry ya kibenki kwa kutofanya risk assessment;

1. Alianzisha mradi wa mabasi ya wanafunzi umekufa - haujawa endelevu.

2. Kaingia mkataba na TFF ; tiketi system, kanunua satellite dish; kujenga kingo za kuingilia.

3. Kuna taarifa la Jeshi la Polisi kuwa wafanyakazi wa benki kushirikiana na majambazi, tumeona matukio ya Mlimani City.

4. Kontena za TPA zilikuwa zinalipwa CRDB, zilikuwa zinafutwa kwenye mitandao IT Deparment.

5.Ufunguzi wa benki Burundi watu wa risk.

Ni wakati wa kujipima na kujiuzuru..

Ungehorodhesha na mazuri aliyofanya, manake hiyo benki alipoitoa na ilipo leo ni tofauti kabisa kama kuna kasoro kwanini wasiambiwe kama ushauri ili waboreshe. Kusimamia biashara sio siasa ambayo kila mtu anaweza sema anachoona. Mie naona CRDB ni katika Bank za kupigiwa mfano manake binafsi ni mteja kwa Zaidi ya miaka 12 na nimeona kuanzia matawi mpaka hudumua kuimarika japokuwa katika kutoa mikopo siwakubali sana na nafikiri ni fursa kwao kuondosha uhafidhina katika kutoa mikopo na kuangalia traditional credit management na kwenda na kimfumo wa sasa hivi ambao biashara zinakuwa rahisi sana.

Umkimlaumu na kutaka ajiuzulu kwa sababu ya CSR na ukasahau kazi za msingi za Bank unaweza ukapitia tena post yako na kuiboresha au kuifuta kabisa. Binafsi sioni kashfa yeyote katika hizo inayomtaka ajiuzuru, mie namuona kama shujaa na miongoni mwa watanzania wachache wa kupigiwa mfano katika utumishi uliotukuka.
 
Ushauri kwa Kimei:

Imefika wakati wa kujitathmini na kuachia ngazi bila shuruti ili heshima yake ibaki palepale. Ni kiongozi aliyefail katika industry ya kibenki kwa kutofanya risk assessment;

1. Alianzisha mradi wa mabasi ya wanafunzi umekufa - haujawa endelevu.

2. Kaingia mkataba na TFF ; tiketi system, kanunua satellite dish; kujenga kingo za kuingilia.

3. Kuna taarifa la Jeshi la Polisi kuwa wafanyakazi wa benki kushirikiana na majambazi, tumeona matukio ya Mlimani City.

4. Kontena za TPA zilikuwa zinalipwa CRDB, zilikuwa zinafutwa kwenye mitandao IT Deparment.

5.Ufunguzi wa benki Burundi watu wa risk.

Ni wakati wa kujipima na kujiuzuru..
hiyo ya kuibia serikali mapato ya ushuru ndio more serious. naona wanamsitiri lakini a spade must be called its name. binafsi nikisikia siku nyingi two three years back jinsi watumishi wa benki wanavyoshirikiana na maafisa wa tpa kuiba hela za ushuru wa forodha. nilifikiri utani kumbe kweli na benki yenyewe kumbe crdb. sasa kumbe pia kuna staff wanashirikiana na majambazi ukichukua hela zako unakabwa wanakuua. crdb sasa ni ujambazi tu inafaa ifilisiwe serikali iweze kupata ushuru walioiba staff wa benki hiyo.
 
Kweli kuna haja ya elimu kuwa BURE kwa ujinga huu wa Watanzania.

Hivi kigogo wa CRDB ana wajibishwa na nani!?

Unadhani CRDB ni mali ya serikali ambayo mkurugenzi wake anajiuzuru pale wananchi wanapo andamana!?

Mkurugenzi wa CRDB ana wajibika kwa bodi ya wakurugenzi ya CRDB ambao ni wana hisa - Watu binafsi hawa...DG wa CRDB hawajibiki kwako wewe Nyumbu.

Hata ingekuwa kweli hayo uliyoandika na mengine mengi na mabaya zaidi tena mabaya zaidi ya hayo...mkurugenzi wa CRDB asingejiuzuru mpaka bodi yake imtake kufanya hivyo. Kimei sio mteule wa JK wala Mkapa na wala hafanyi kazi kwa maslahi ya umma wote bali kwa maslahi ya wana hisa wa CRDB tu.

Note: Nikisema wana hisa ni wale walio changia mtaji tu (wale wanao faidi gawiwo)...Na wala sio wewe uliyeweka vilaki mbili vyako kwenye akaunti CRDB.
 
Ungehorodhesha na mazuri aliyofanya, manake hiyo benki alipoitoa na ilipo leo ni tofauti kabisa kama kuna kasoro kwanini wasiambiwe kama ushauri ili waboreshe. Kusimamia biashara sio siasa ambayo kila mtu anaweza sema anachoona. Mie naona CRDB ni katika Bank za kupigiwa mfano manake binafsi ni mteja kwa Zaidi ya miaka 12 na nimeona kuanzia matawi mpaka hudumua kuimarika japokuwa katika kutoa mikopo siwakubali sana na nafikiri ni fursa kwao kuondosha uhafidhina katika kutoa mikopo na kuangalia traditional credit management na kwenda na kimfumo wa sasa hivi ambao biashara zinakuwa rahisi sana.

Umkimlaumu na kutaka ajiuzulu kwa sababu ya CSR na ukasahau kazi za msingi za Bank unaweza ukapitia tena post yako na kuiboresha au kuifuta kabisa. Binafsi sioni kashfa yeyote katika hizo inayomtaka ajiuzuru, mie namuona kama shujaa na miongoni mwa watanzania wachache wa kupigiwa mfano katika utumishi uliotukuka.
Utetezi wa kijinga huu. Kwani hakuna watu wengine mbali na Kimei wenye uwezo wa kuipeleka CRDB mbele zaidi ? Acheni kutetea watu kijinga jinga hivi! Eti benki alipoitoa...kwahiyo mfano leo hii Kimei akiwa anatia hasara mfululizo pale CRDB...Aachwe tu kisa ameitoa benki mbali!? Hoja ya kampuni kutolewa wapi haina mashiko kabisa...Watu wanaangalia kampuni ina perform vipi now na projection yake habo baadae inasomekaje.
 
Hivi kufungua banki Burundi ni kosa?
Hapa naona majungu tu, pia tambua bank ya CRDB ni yetu siyo ya ccm, kwa hiyo sisi wenye bank bado hatujamuona kama ana makosa.
Jipange ulete umbeya mwingine ili tukuelewe.
Ni yenu nyie chadema au una maana ni yenu nyie akina nani. Kama Kimei alikuwa mzuri ni enzi zile. Kwa sasa hafai. Aachie tu ngazi. Aachie mawazo mapya. Vipaji vipya viingie na viitoe bank apa ilipofika kwenda pengine isije kuwa too late kama ilivokuwa kwa precision air au NBC
 
hiyo ya kuibia serikali mapato ya ushuru ndio more serious. naona wanamsitiri lakini a spade must be called its name. binafsi nikisikia siku nyingi two three years back jinsi watumishi wa benki wanavyoshirikiana na maafisa wa tpa kuiba hela za ushuru wa forodha. nilifikiri utani kumbe kweli na benki yenyewe kumbe crdb. sasa kumbe pia kuna staff wanashirikiana na majambazi ukichukua hela zako unakabwa wanakuua. crdb sasa ni ujambazi tu inafaa ifilisiwe serikali iweze kupata ushuru walioiba staff wa benki hiyo.
Mkuu umeongea kisom zaidi. Haifai kuleta siasa kwenye biashara. Kimei anapaswa kutoswa. Wakizubaa Itakuwa too late. Ni mpumbavu tu anaeweza kuamin kuwa bado Kimei ana umuhimu kuendelea kuwepo crdb. Ameiibia mpaka serikali. Awale wa Stanbic alifukuzwa baada ya kupata kashfa ya kuiibia serikali. Vipi kuhusu Kimei. Mi naamini ni suala la muda tu lakini Kimei hafai tena kuendelea kuwepo crdb. Kabla hajatimuliwa anafaa ajiuzulu mwenyewe kwa heshima. Apishe mawazo mapya. Ubunifu mpya uingie crdb. Aende akapumzike. Haiwezekani uweke hela bank then uwe na hofu ya usalama wako na hela zako. Sasa nn maana ya kuwa na bank. Kimei hafai kuachiwa kuendelea kukaa crdb hata kwa miezi sita ijayo.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom