TANZIA Charles Keenja na mkewe wafariki Dunia wakati akipatiwa matibabu Hospitali ya Seifee

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.

Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.

Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.

Pia soma
Ila kala maisha..ubunge..uwaziri...R.i.p
 
MBONA KAMA MISIBA INAANZA KUSHIKA HATAMU???

Usiwe na wasiwasi chanjo imechukuwa sehemu ya Mungu tuliye mtegemea kipindi cha nyuma.
Hivyo itakuepusha na kifo. Endeleeni kutegemea akili na maarifa ya kibinadamu. "Amelaaniwa ategemeaye mwanadamu". Poleni wa uzao wa Keenja ndugu jamaa na marafiki.

#Tanzania tutanunua magari kutoka Rwanda.
 
Waziri wa zamani wa Kilimo Charles Keenja pamoja na mke wake wameaga dunia leo katika hospitali ambayo haijajulikana mapema.

Vifo hivyo vimetokea leo mchana, kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ya mzee keenja, kabla ya mauti Keenja na mkewa walikuwa wamelazwa hospital takribani siku 3 hivi wakisumbuliwa na changamoto ya upumuaji.

Taarifa zaidi tutawawekea hapa
Daah inasikitisha sana.
 
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.

Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.

Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.

Pia soma
Mke wake ame RIP jioni ya leo
 
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.

Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.

Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.

Pia soma
Huku wanatupiga kule sir God anawanyuka haswa wiki moja 1. Kwandikwa 2. Keenja dah
 
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Jiji la Dar, Mbunge wa Ubungo na Waziri kipindi cha awamu ya tatu Charles Ndiliana Ruwa Keenja amefariki Dunia leo akipatiwa Matibabu Seifee Hospital jijini Dar.

Marehemu Keenja alizaliwa December 24, 1940.

Mungu aipokee Roho ya Marehemu mahali pema peponi.

Pia soma
Wamepishana muda kidogo na mke wake.Naye amekata moto baada ya mumewe.
 
Back
Top Bottom