Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Una maana kwa Kiswahili??
Ndiyo bosi, kuna hawa jamaa wanaotafsiri siku hizi kina DJ Mark wameifanya.
Una maana kwa Kiswahili??
duh! subtitles ya kiswahili kwenye pb au sijaelewa?Ndiyo bosi, kuna hawa jamaa wanaotafsiri siku hizi kina DJ Mark wameifanya.
duh! subtitles ya kiswahili kwenye pb au sijaelewa?
ok!No, siyo subtitles bosi.
unakumbuka ile scene alimpa twinner burger ili apate siri za michael twinner akazingua likamwambia nilipe burger zangu akajibu hana pesa likamwambia “go sell your ass” 🤣
Ndiyo bosi, kuna hawa jamaa wanaotafsiri siku hizi kina DJ Mark wameifanya.
Akikujibu nitag mkuu
We are captives of our own identity, living in prison of our own creations. "Captivity of negativity -T bagT-Bag aliambiwa na Bellick kwamba wewe ulizaliwa baada ya babako kumbaka dadako T Bag ambaye alikuwa anaumwa "Down Syndrome" ndio ukazaliwa T-Bag.
Mbaguzi lakini alikuwa smart.
"Captivity of negativity" moja kati ya speech kali aliyoitoa inaniispire.
Yaaaanaaa sana'a .. Alikuwa na yule dogo Wa CIA akamtumia Kama whipman
duh! subtitles ya kiswahili kwenye pb au sijaelewa?
Yule alikuwa anavaa outfits za sister???Sio dada yule aliyekuwa Malaya wa mbabe wa jela black hiv kwenye jela ya Sona season ya 3 hiv me huyu ndo alinipagawisha ila sio sara ningependa nijue jina lake please
Yah ndo huyo huyoYule alikuwa anavaa outfits za sister???
Ndio mkuuu ndio last season ambayo michael anafungwa yemeni huko na lincon anaenda kumtoa.Kwani Ina season 5?
Yeah5 imezidi uongo...afu wameiharibu sana
Hivi kumbe michael kufungwa yemen ilikuwa ni mission ya kwenda kumtorosha mtu. Dah nilijua alifanya msala kweliYaaaanaaa sana'a .. Alikuwa na yule dogo Wa CIA akamtumia Kama whipman
Anaitwa David "Tweener" Apolski.. alipigwa nyundo 5 akaingia fox penitentiary kwa kosa la wizi wa mali za watu na kuuza.. Grand Larceny..Kuna yule dogo mmoja aliuawa na Alexander Mahone season 2. Sikumbuki alikuwa anaitwa nani ila baada ya kutoka fox river yeye alikuwa akivaa cap iliyoandikwa "S" yaani stealer, huko ya genius wao ikiandikwa "C" yaani clever.
Huyu dogo alikuwa akinikosha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app