Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!

Wanabodi,

Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za watu wenye tabia za udikiteta katili, kitu kinachoitwa "character assassinations" ndio "modus operandi" ya madikiteta wote katili duniani, na huanza kwa kuwa populist leaders kwa kuonyesha heroic actions hivyo kushangiliwa sana na umati za watu, kama viongozi mashujaa na kupendwa sana na watu!, tena watafanya actions nyingi za utu na huruma ila kiukweli ni machoni tuu ni kama watu lakini mioyoni ni ma sadist.

Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis

Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.

Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection

Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.

Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana

Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,

Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.

Madikiteta wa Roma ya Kale Walifanya Nini?

Madikiteta wa Roma ya kale, waliandaa michezo ya kupigana ya ma gladiators mnapigana hadi mmoja afe!. yule gladiators mwenye nguvu kuliko wote, anakuja kuletwa pale kwenye Colosium (stadium) na kusakiziwa simba watatu wenye njaa ya siku 7, huku watu wamejaa kushuhudia jinsi binadamu anavyoraruwa na simba, damu kutapakaa huku watu wanashangilia!.

Batista, Hitler na Musolini Walifanya Nini?

Adolf Hitler yeye alikuwa akinyoosha mistari ya jeshi lake kwa risasi za moto, anayepindisha tuu, anakula hapo hapo!. Idi Amini Dada yeye alikuwa anatumia kikosi kinachoitwa "firing squad", lengo ni kuogofya!.

Dalili ya Kwanza ya Kuelekea Kwenye Udikiteta ni Ku Crush The Opposition

Hivyo wandugu, tusije wote tukawa washangiliaji wa hiki kinachoendelea sasa nchini mwetu kwa utawala wa kuogofya tukitaraji tutafika mwisho mwema na wote watanyooka, kumbe huu ukawa ndio kwanza ni mwanzo tuu wa makubwa yajayo!.

Naomba kumalizia kwa msisitizo, kuna aina mbili za madikiteta!. Kuna Madikiteta Katili na Madikiteta wazuri!. Mada hii inawazungumzia madikiteta katili!, hivyo nawaomba wachangiaji msije kuanza kuchanganya madawa mkaanza kuwadhania watu humu!.

Namalizia kwa swali, jee wote tunaoshagilia hizi character assassination za sasa, ambazo we take them as "the sweet", jee tuko tayari to "to take the bitter with the sweet" ambao huu ni wakati tunashangilia kuwa hivi vidonge vitamu, tunavimeza kwa furaha na raha zetu huku tukishangilia!, jee wakati wa vidonge vichungu ukifika, pia tutavimeza kwa uchungu huku tukilia?, au tutaendelea tuu kuchagua ni vidoge gani tumeze!, vile vidonge vitamu tuu ndio tumeze, lakini vile vidoge vichungu tuteme?!.

Kwa sasa tuendelee kuuchekea huu udikiteta huku tukiushangilia kwa furaha, ila ukifikia wakati wa kulia, naombeni sana tusianze kulalamika, pia tulie kwa furaha maana tulipoanza kuyaona, tulishangilia, yakitukuta ya kutukuta, pia tushangilie!.

Sisi wengine wenzenu ni waona mbali.
Nawatakia Jumatatu Njema.

Paskali
Update
Ahsante anko
 
Haingii akilin Kutukana watu, kukejeli, kudhihaki watu ambao kiuhalisia wapo walikuzidi Umri tena mbele ya Macho, hao unaowafanya ivo wana wake zao, wana watoto ndugu ,rafiki najamaa.

Mimi nadhani ni Jeuri zisizo na Msingi wowote, Haukuanza wewe kuwa Rais, mbona wapo watangulizi wako lkn Hawakuwahi kua ivo na wao walideal pia na mambo kama hayo...

Nawasihi viongozi wa Dini, Acheni kujisumbua kupiga magoti kila siku kumuombea MTU ambaye anachokifanya anakijua, nakm anajua niudhaifu basi kwann hakubali udhaifu wa wengine?.. Dini gan inahimiza kiongozi utukane ,ukejel n.k?

Nani ameomba Mvua inyeshe iharibu madaraja, nani anaomba wagonjwa , nani anawambia wagonjwa wakaee nyumban muda mrefu wakiona hali mbaya ndo wanakuja Hosp, MTU km huyo akisepa, basi anatafutwa Mtoa huduma, nani?

Najua Kiongozi una kariba ya Narcissism , kutafuta Sifa mbele ya Watu hata kwa kutukana , maamuzi yasokua na busara ,maamuzi ya mihemko , Kwako Kusifiwa hata kwa jambo Baya ni sahihi na Utampa Cheo muhusika.

Matokeo yake, Umefanya Watawala na viongozi wengi kuanzia makatibu, maDC maRC wamekua na lugha Chafu, Jeuri, kejeli ,dhihaka , kutukana watu ovyoovyo , na wanatukana pasipo kujali Utu wa mtendwa.

MZEE SAIDI MECKY SADIK , alifanya jambo LA Maana sana, Kujiudhuru huo uRC,, haiwezekan sababu tu ya Cheo mshahara basi Umvunjie MTU utu wake tena macho ni pa Watu na mbele ya Vyombo vya habari,..ni mazingira gan unayompa? Huwezi mtukana mtu Mzima Mzee mwenzako Ambaye Ulipoletewa Faili lake ulizipitia wewe mwenyewe, ukamchambua, NA ukaona anafaa, ukampa Uongozi .... Leo udhaifu utokeee, Umseme kama mtoto Mdogo ..nani Mnafiki hapa?

WEWE MWENYEWE ULIWAHI KUA WAZIRI WA UJENZI, UVUVI N.K...MBONA KUNA MADUDU MENGI ULIYAFANYA??? IVI WATANGULIZI WAKO WANGEAMUA KUKUSHUGULIKIA KWA MATUSI, NGUVU, DHIHAKA, JEURI ,KEJELI ZA WAZIWAZI.... WEWE UNGEFIKA HAPA ULIPO?

Ktk safari yako ya Maisha kisiasa , nikweli wewe ulikua Mkamilifu kiasi cha Leo hii wewe kua mkosoaji wakila kitu pale tu panapotokea udhaifu hata ktk mambo yasohitaji siasa?

Ukweli nikwamba, Unahitajika Kumuomba Mungu akupe Hekima na Busara ili uweze kuhesabika kiongozi bora moyoni mwa watu.

Kama suala ni kufukuza, wewe sindo mwenye mamlaka bana, Fukuza tu bila hata kumtukana tu..Fukuza bila hata kumvunjia MTU heshima na kumpa Aibu isofutika ndani ya jamii....HAO UNAOWAFANYIA IVO, KUMBUKA MAISHA YAO NIBADO YANATAKIWA KUENDELEA.

Mungu akusaidie na ubadilike..
Karibu na mitaa hii.
P
 
Hapa Mayalla ilikuwa haijapata njaa.
Wanabodi,

Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za watu wenye tabia za udikiteta katili, kitu kinachoitwa "character assassinations" ndio "modus operandi" ya madikiteta wote katili duniani, na huanza kwa kuwa populist leaders kwa kuonyesha heroic actions hivyo kushangiliwa sana na umati za watu, kama viongozi mashujaa na kupendwa sana na watu!, tena watafanya actions nyingi za utu na huruma ila kiukweli ni machoni tuu ni kama watu lakini mioyoni ni ma sadist.

Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis

Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.

Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection

Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.

Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana

Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,

Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.

Madikiteta wa Roma ya Kale Walifanya Nini?

Madikiteta wa Roma ya kale, waliandaa michezo ya kupigana ya ma gladiators mnapigana hadi mmoja afe!. yule gladiators mwenye nguvu kuliko wote, anakuja kuletwa pale kwenye Colosium (stadium) na kusakiziwa simba watatu wenye njaa ya siku 7, huku watu wamejaa kushuhudia jinsi binadamu anavyoraruwa na simba, damu kutapakaa huku watu wanashangilia!.

Batista, Hitler na Musolini Walifanya Nini?

Adolf Hitler yeye alikuwa akinyoosha mistari ya jeshi lake kwa risasi za moto, anayepindisha tuu, anakula hapo hapo!. Idi Amini Dada yeye alikuwa anatumia kikosi kinachoitwa "firing squad", lengo ni kuogofya!.

Dalili ya Kwanza ya Kuelekea Kwenye Udikiteta ni Ku Crush The Opposition

Hivyo wandugu, tusije wote tukawa washangiliaji wa hiki kinachoendelea sasa nchini mwetu kwa utawala wa kuogofya tukitaraji tutafika mwisho mwema na wote watanyooka, kumbe huu ukawa ndio kwanza ni mwanzo tuu wa makubwa yajayo!.

Naomba kumalizia kwa msisitizo, kuna aina mbili za madikiteta!. Kuna Madikiteta Katili na Madikiteta wazuri!. Mada hii inawazungumzia madikiteta katili!, hivyo nawaomba wachangiaji msije kuanza kuchanganya madawa mkaanza kuwadhania watu humu!.

Namalizia kwa swali, jee wote tunaoshagilia hizi character assassination za sasa, ambazo we take them as "the sweet", jee tuko tayari to "to take the bitter with the sweet" ambao huu ni wakati tunashangilia kuwa hivi vidonge vitamu, tunavimeza kwa furaha na raha zetu huku tukishangilia!, jee wakati wa vidonge vichungu ukifika, pia tutavimeza kwa uchungu huku tukilia?, au tutaendelea tuu kuchagua ni vidoge gani tumeze!, vile vidonge vitamu tuu ndio tumeze, lakini vile vidoge vichungu tuteme?!.

Kwa sasa tuendelee kuuchekea huu udikiteta huku tukiushangilia kwa furaha, ila ukifikia wakati wa kulia, naombeni sana tusianze kulalamika, pia tulie kwa furaha maana tulipoanza kuyaona, tulishangilia, yakitukuta ya kutukuta, pia tushangilie!.

Sisi wengine wenzenu ni waona mbali.
Nawatakia Jumatatu Njema.

Paskali
Update

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis

Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.

Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection

Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.

Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana

Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,

Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.
Paskali
Karibu Pande hizi, unaonekana wewe ni mtu wa psychoanalysis.
Kwa kutumia prefix ya ‘Ka’ kwa maana ya kudogosha/kupunguza ukubwa wa kitu/ mtu na labda toka zamani akiwa bado mdogo mtu anaambiwa hivyo inaweza pia ika muathiri ki saikolojia mtu ktk makuzi yake kwa ndani yake na ita onekana katika matendo yake pindi mtu huyu akipata nguvu fulani na hasa za madaraka na uchumi na ataonyesha sasa yeye sio mdogo/dhaifu na akiamua kutumia vibaya ili kufidia dhihaka hiyo ya udogo/udhaifu wa toka akikua kuna maamuzi yake yatakuwa ya kushangaza either mazuri sana au mabaya pia maana hisia pia ndo zinatangulia zaidi kwa sehemu kubwa
P
 
🤣 🤣🤣🤣Kwa hiyo sasa hutaki tena kukumbuka jinsi ulivyokuwa unajitahidi kuupaka rangi UDIKTETA ili sio tu kuupendezesha bali pia kuweka mzingira ya 'kutosahauliwa'?. Kama ni kweli basi ninakutakia heri ingawaje itabidi kukuangalia kidogo kabla sijakuamini.
Mkuu ostrichegg , sina uhakika, lakini humu jf, sidhani kama kuna member mwingine yoyote aliyeuzungumzia udikiteta kama mimi!.
Karibu pande hizi.
P
 
Wanabodi,

Angalizo: Naomba kuanza bandiko hili kwa kutoa angalizo muhimu kuwa hapa simzungumzii mtu yeyote specific, bali naendesha somo la psychoanalysis ya hypothetical situation ya hulka za watu wenye tabia za udikiteta katili, kitu kinachoitwa "character assassinations" ndio "modus operandi" ya madikiteta wote katili duniani, na huanza kwa kuwa populist leaders kwa kuonyesha heroic actions hivyo kushangiliwa sana na umati za watu, kama viongozi mashujaa na kupendwa sana na watu!, tena watafanya actions nyingi za utu na huruma ila kiukweli ni machoni tuu ni kama watu lakini mioyoni ni ma sadist.

Sababu za Watu Kuwa Madikiteta ni Deep Rooted Neurosis

Hulka hizo za udikiteta zinatokana na kitu kinachoitwa "deep rooted neurosis" kwa baadhi ya madikiteta hawa kuwa waliteswa sana utotoni!, baadhi yao walikataliwa ndani ya familia zao!, na hii hutokea pale baba anapohisi huenda mtoto huyo sii wa kwake kwa kumhisi mkewe alichepuka!, mama naye kamwe hawezi kukiri kuwa alichepuka hata kama ni kweli alichepuka, (ukweli mwingine ni bora usisemwe kamwe), hivyo baba anakuwa anamtesa sana mtoto huyo, huku mama hawezi kuingilia kwa sababu anaujua ukweli!.

Madikiteta Wengi, Wamekulia Kwenye Mazingira Magumu ya Mateso na Rejection

Mtoto wa aina hiyo anakuwa amekulia katika mateso makubwa ya ukatili, mateso ya kisaokolojia, mateso ya kutumikishwa hadi mateso ya mwili, vitu vyote hivi ukivijumlisha, vinamletea mtoto huyu usongo mkubwa wa mawazo, na kumbukumbu za mateso haya huhifadhiwa kwenye subconscious mind, hivyo unaomtia hasira kusoma kwa bidii na huku ana visasi ili kuonyesha mateso hayo ni jambo la kupita tuu!.

Watoto Wa Mazingira Magumu, Hufanikiwa Sana

Na kweli wengi wa watoto wa aina hii, huja kufanikiwa sana kimaisha, na wakiishafika at the top!, ndipo ile "deep rooted neurosis" ya kumbukumbu ya mateso ya utotoni iliyohifadhiwa kwenye "sub conscious mind" inaibuka na kupelekea kumfanya mtu huyo kuwa katili!, sadist, kuongea kwa ukali, kuongea kwa hasira, kutokushaurika, na kutawaliwa na u mimi, mimi ndio kila kitu, etc, na hufikia stage ya ku inflict pain kwa njia za cruelty, torture or character assassinations, anaumiza na akiona mtu anaumia yeye ndio anapata furaha na gratification!,

Sometimes ukatili huu huingia hata katika familia kwa baba au mama kuwa mkali kupindukia, kuchapa sana watoto, na ukatili huu huingia hadi katika mapenzi kwa kumpiga sana mpenzi wake au mke wake, baadhi ya wanaume wanakuwa ni wabakaji, huku wanawake wakipenda kubakwa au kupigwa kwanza kabla ya tendo. Hii ya ukatili kwenye mapenzi inaitwa masochism, wahusika wanaitwa masochistic, au macho men & women.

Madikiteta wa Roma ya Kale Walifanya Nini?

Madikiteta wa Roma ya kale, waliandaa michezo ya kupigana ya ma gladiators mnapigana hadi mmoja afe!. yule gladiators mwenye nguvu kuliko wote, anakuja kuletwa pale kwenye Colosium (stadium) na kusakiziwa simba watatu wenye njaa ya siku 7, huku watu wamejaa kushuhudia jinsi binadamu anavyoraruwa na simba, damu kutapakaa huku watu wanashangilia!.

Batista, Hitler na Musolini Walifanya Nini?

Adolf Hitler yeye alikuwa akinyoosha mistari ya jeshi lake kwa risasi za moto, anayepindisha tuu, anakula hapo hapo!. Idi Amini Dada yeye alikuwa anatumia kikosi kinachoitwa "firing squad", lengo ni kuogofya!.

Dalili ya Kwanza ya Kuelekea Kwenye Udikiteta ni Ku Crush The Opposition

Hivyo wandugu, tusije wote tukawa washangiliaji wa hiki kinachoendelea sasa nchini mwetu kwa utawala wa kuogofya tukitaraji tutafika mwisho mwema na wote watanyooka, kumbe huu ukawa ndio kwanza ni mwanzo tuu wa makubwa yajayo!.

Naomba kumalizia kwa msisitizo, kuna aina mbili za madikiteta!. Kuna Madikiteta Katili na Madikiteta wazuri!. Mada hii inawazungumzia madikiteta katili!, hivyo nawaomba wachangiaji msije kuanza kuchanganya madawa mkaanza kuwadhania watu humu!.

Namalizia kwa swali, jee wote tunaoshagilia hizi character assassination za sasa, ambazo we take them as "the sweet", jee tuko tayari to "to take the bitter with the sweet" ambao huu ni wakati tunashangilia kuwa hivi vidonge vitamu, tunavimeza kwa furaha na raha zetu huku tukishangilia!, jee wakati wa vidonge vichungu ukifika, pia tutavimeza kwa uchungu huku tukilia?, au tutaendelea tuu kuchagua ni vidoge gani tumeze!, vile vidonge vitamu tuu ndio tumeze, lakini vile vidoge vichungu tuteme?!.

Kwa sasa tuendelee kuuchekea huu udikiteta huku tukiushangilia kwa furaha, ila ukifikia wakati wa kulia, naombeni sana tusianze kulalamika, pia tulie kwa furaha maana tulipoanza kuyaona, tulishangilia, yakitukuta ya kutukuta, pia tushangilie!.

Sisi wengine wenzenu ni waona mbali.
Nawatakia Jumatatu Njema.

Paskali
Update
Uliliona hili mapema Sijui ulikuja kupatwa na nini baadaye Pascal Mayalla ukamuunga mkono Shujaa
 
Back
Top Bottom