Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!

Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali


Vip mzee baba umeichungulia nisani nyeupe au noah nyeusi na sasa umeamua kuflipp maandishi yako? Hahahah

Any way tuendelee kushangilia ila ikifka zam yako keep on kushangilia
 
Samahani, nilichogundua na kwa mtu yeyote mwenye fikra pevu ni unafiki uliorembwa na kujificha katika uzi wako. Para ya mwisho inai-cancel para ya kwanza na rangi zako zinadhihirika waziwazi. Licha ya kipaji maridhawa cha uandishi sina shaka unatumiwa na kikundi cha watu kama character assasin kwa malipo. Unayemlenga ni dhahiri. Take care, wengi wana uchungu na walikotoka na sasa wanaona mwanga japo kidogo at the end of the tunnel.
Kula tano Mkuu
 
Wengi wanadhani mtu kuwa dikiteta katili ni lazima mtu awe ni mkuu wa nchi, not necessarily, hata kitendo cha adding an insult to an injury pia ni ukati.

P
 
Ni mimi tuu ndio naona kama hizi character assassinations zinazidi hadi kuwa kama bullying huku watu wanashangilia kama ile michezo ya gladiators kwenye coliseum pale Roma ya kale, au Palace Athena ya Ugiriki, wakijua wanashangilia kitu kizuri, as if it is the right thing to do?.
P
 
Ni mimi tuu ndio naona kama hizi character assassinations zinazidi hadi kuwa kama bullying huku watu wanashangilia kama ile michezo ya gladiators kwenye coliseum pale Roma ya kale, au Palace Athena ya Ugiriki, wakijua wanashangilia kitu kizuri, as if it is the right thing to do?.
P
Mkuu wanaoshangilia nadhani hawajui walifanyalo. Huu uzi nakuunga mkono asilimia zote
 
Maelezo yako yote yamehitimishwa na paragraph ya tano.

Tanzania ilipofika na mazingira yaliyopo hatuwezi kufika huko unakodhani. Huu ni woga ambao ulitegemewa kwa sababu kinachofanywa na Rais kwa sasa kiko nje ya comfort zone za baadhi ya watu.

Ninafahamu ni wachache sana waliamini kama Rais Magufuli anaweza kumtumbua Kitwanga achilia mbali kumtumbua kwa aina kama ile huku Ikulu ikitoa Press Release yenye paragraph mbili ambazo ni fupi. Hii imekuwa ni shock hasa ikichuliwa kuna wengine walisha bet na kusema watavua nguo au watatembea uchi kama Kitwanga atafukuzwa kazi.

Watu wanaomfahamu kwa karibu Rais Magufuli hawashangai kwa kile anachokifanya.

Ninakuhakikishia subiri mahakama ya mafisadi ianze utashangaa watakao kamatwa na kushitakiwa.

Hizi unazoziita character assassination itabidi wazizoee na njia ya kuepuka fanya kazi kama mkataba wako unavyotaka au achana na public sector ili uingie kwenye private sector huku ukifuata sheria za nchi.

Rais Magufuli ni mtu anayechukia sana uonevu na uzembe lakini anaheshimu sana watenda mema kwa jamii hasa ya chini. Kwa sasa kuna watu hali zao kifikra ni mbaya sana kwa sababu hawafahamu hatima yao kutokana na madhambi yao.

Kama kuna watu wanadhani wanaweza kupambana naye ili kumkwamisha ni bora wasahau hilo wazo kwa faida ya freedom zao.

Yes, as human being, Rais Magufuli ana mapungufu yake ambayo ni tone dogo sana kulinganisha na mazuri yake. By the way, hatukuchagua Maraika na hatutegemei awe kama Maraika.
Sijui!!
 
Ni mimi tuu ndio naona kama hizi character assassinations zinazidi hadi kuwa kama bullying huku watu wanashangilia kama ile michezo ya gladiators kwenye coliseum pale Roma ya kale, au Palace Athena ya Ugiriki, wakijua wanashangilia kitu kizuri, as if it is the right thing to do?.
P
Jamiii ikifikia hapa,inakuwa imeshatengeneza matabaka yanayo chukiana baina yao.....
Ngoja tuone tunakoelekea in'shallah tujaaliwe uzima
 
rudia tena.......
Kwa kumtumbua Kitwanga sasa naamini JPM means business.

Tunachokitaka sasa ni

1. Bunge Live
2. Mahakama ya mafisadi
3. Mipango kamambe ya Uchumi
4. Sauti za wananchi kuheshimiwa kwenye chaguzi ( yaliyotokea Zanzibar ni aibu, kamwe yasitokee tena)
 
Back
Top Bottom