Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijuaje anasali huko.Unajua,wachawi ndio wanaotupaga taarifa kwamba mtu fulani ni mchawi baada ya kukutana vilingeni.Sasa mnakutanaga huko nini?Hapo ndo huwa anasali Bruno Fernandez?
Tuishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kujenga li kanisa kama hilo kwa wenzetu wareno
Huwezi tenganisha ukatoliki na ushetaniUkatoliki
Uko sahihi kiongozi wanguHuwezi kuwa na akili sawa sawa halafu ukawa muumini wa Kanisa Katoliki.
Upo timamu?Huwezi tenganisha ukatoliki na ushetani
Mtu ameandika question sentence wewe unaifanya statement sentence uko timamu kweli?Ulijuaje anasali huko.Unajua,wachawi ndio wanaotupaga taarifa kwamba mtu fulani ni mchawi baada ya kukutana vilingeni.Sasa mnakutanaga huko nini?
Mtu ameandika question sentence wewe unaifanya statement sentence uko timamu kweli!?Ulijuaje anasali huko.Unajua,wachawi ndio wanaotupaga taarifa kwamba mtu fulani ni mchawi baada ya kukutana vilingeni.Sasa mnakutanaga huko nini?
Na wewe wa kilinge labda,ndio maana unatetea mkilinge mwenzio.Mtu ameandika question sentence wewe unaifanya statement sentence uko timamu kweli?
You are deadly wrong.Sio concepts zote za kidini ni mbaya.Lazima utambue kwamba yupo Mungu na Lucifer,and these are opposing spirits,but Lucifer was created by God.So zipo dini ambazo ni for Lucifer,a being created by God, as I have already pointed out na ambazo ni for God.Mkiambiwa hizi dini nyemelezi za kigeni ni ushirikina mtupu mnatishia kutukata vichwa. Hakuna taasisi chafu na za shetani kama hizi za kidini zinazoahidi pepo wakati zikiwafanya waumini wake waishi jehanamu
Wasabato bhanaHuwezi tenganisha ukatoliki na ushetani
Mimi sio Msabato,lakini ni kweli huwezi kutenganisha Ukatoliki na ushetani.Pope Francis ni a Jesuit,an underground society sawa na Freemasons,so what do you expect!Infact most of Catholic top clergy is masonic!Yanayoendelea Vatican (kwenye basement) ni aibu kwa dhehebu linalosema linamuamini Bwana Yesu. Ngoja tunyamaze.Wasabato bhana
Wewe umebobea kwenye theory za kipumbavuMimi sio Msabato,lakini ni kweli huwezi kutenganisha Ukatoliki na ushetani.Pope Francis ni Jesuit,an underground society sawa na Freemasons,what do you expect!Yanayoendelea Vatican ni vigumu kuyasimulia,ngoja tunyamaze.
Unajua mkuu,it seems my knowledge is way above yours,ndio maana hunielewi.Wewe umebobea kwenye theory za kipumbavu